Inaelekea serikali inataka kuwachanganya watu ktk hili swala zima ukisoma hati ya mashitaka aliyofunguliwa
Ponda hakuna issue ya yeye kuhusika na kuchoma kanisa wala hakuna aliyefunguliwa kosa hilo.
Tuhuma nyingi alizofunguliwa Ponda ni za kisanii tu kwa ajili ya kuwarizisha wakristo kwa kitendo cha kuchomewa
makanisa yao. makosa yote aliyoshitakiwa nayo ni almost impossible kuyathibitisha kwani yalifanywa na kundi kubwa
la watu na yeye hakuwahi kukamatwa ktk eneo la tukio.
USHAURI WANGU.
Bahati mbaya jk huwa hafanyi kazi bila kushinikizwa kwahiyo Kuna haja ya maaskofu kwenda kuonana na JK kuwasilisha malalamiko yao huku wakidemand kujua hatima ya makanisa yao kuhusiana na fidia na pia serikali inafanya nini kuakikisha uhuni huu hautokei tena na pia kutoa timeframe ktk kila wanalokubaliana never ever give him open ended
comittment.
Ponda hakuna issue ya yeye kuhusika na kuchoma kanisa wala hakuna aliyefunguliwa kosa hilo.
Tuhuma nyingi alizofunguliwa Ponda ni za kisanii tu kwa ajili ya kuwarizisha wakristo kwa kitendo cha kuchomewa
makanisa yao. makosa yote aliyoshitakiwa nayo ni almost impossible kuyathibitisha kwani yalifanywa na kundi kubwa
la watu na yeye hakuwahi kukamatwa ktk eneo la tukio.
USHAURI WANGU.
Bahati mbaya jk huwa hafanyi kazi bila kushinikizwa kwahiyo Kuna haja ya maaskofu kwenda kuonana na JK kuwasilisha malalamiko yao huku wakidemand kujua hatima ya makanisa yao kuhusiana na fidia na pia serikali inafanya nini kuakikisha uhuni huu hautokei tena na pia kutoa timeframe ktk kila wanalokubaliana never ever give him open ended
comittment.