Waliochoma makanisa wako wapi??

politiki

JF-Expert Member
Sep 2, 2010
2,376
1,507
Inaelekea serikali inataka kuwachanganya watu ktk hili swala zima ukisoma hati ya mashitaka aliyofunguliwa
Ponda hakuna issue ya yeye kuhusika na kuchoma kanisa wala hakuna aliyefunguliwa kosa hilo.
Tuhuma nyingi alizofunguliwa Ponda ni za kisanii tu kwa ajili ya kuwarizisha wakristo kwa kitendo cha kuchomewa
makanisa yao. makosa yote aliyoshitakiwa nayo ni almost impossible kuyathibitisha kwani yalifanywa na kundi kubwa
la watu na yeye hakuwahi kukamatwa ktk eneo la tukio.

USHAURI WANGU.
Bahati mbaya jk huwa hafanyi kazi bila kushinikizwa kwahiyo Kuna haja ya maaskofu kwenda kuonana na JK kuwasilisha malalamiko yao huku wakidemand kujua hatima ya makanisa yao kuhusiana na fidia na pia serikali inafanya nini kuakikisha uhuni huu hautokei tena na pia kutoa timeframe ktk kila wanalokubaliana never ever give him open ended
comittment.
 
hapa ndipo watawala wetu wanapowagawa wananchi live, wakimaliza kutugawa kwa dini zetu itakuwa ngumu sana kutuweka pamoja.
 
Inaelekea serikali inataka kuwachanganya watu ktk hili swala zima ukisoma hati ya mashitaka aliyofunguliwa
Ponda hakuna issue ya yeye kuhusika na kuchoma kanisa wala hakuna aliyefunguliwa kosa hilo.
Tuhuma nyingi alizofunguliwa Ponda ni za kisanii tu kwa ajili ya kuwarizisha wakristo kwa kitendo cha kuchomewa
makanisa yao. makosa yote aliyoshitakiwa nayo ni almost impossible kuyathibitisha kwani yalifanywa na kundi kubwa
la watu na yeye hakuwahi kukamatwa ktk eneo la tukio.

USHAURI WANGU.
Bahati mbaya jk huwa hafanyi kazi bila kushinikizwa kwahiyo Kuna haja ya maaskofu kwenda kuonana na JK kuwasilisha malalamiko yao huku wakidemand kujua hatima ya makanisa yao kuhusiana na fidia na pia serikali inafanya nini kuakikisha uhuni huu hautokei tena na pia kutoa timeframe ktk kila wanalokubaliana never ever give him open ended
comittment.


Mawazo yako ndiyo waislam siko zote wanalalamika, kuwaridhisha wakiristo kwa gharama ya muislam, Ponda kuwekwa ndani kwa kuwaridhisha wakiristo na kufunguliwa kesi za kisanii, huu ndio mfumo kristo tunaoukataa, kwanini yeye Ponda awe mbuzi wa Kafara? Yeye hana haki ya kuishi kwa amnai kama mapadre ?

Mkanisa yenyewe tumeyajenga kwa kodi zetu sisi waislam, na MoU. sioni sababu tena kwanini serikali walipie fidia, naamini kabisa Wakiristo wenzenu wakina Edward na wale mafisadi wengine wa TRA wataongeza kuvu za ufisadi kwa ajili ya kuchangia makanisa, kwa hiyo usijali Lowasa yupo???
 
Inaelekea serikali inataka kuwachanganya watu ktk hili swala zima ukisoma hati ya mashitaka aliyofunguliwa
Ponda hakuna issue ya yeye kuhusika na kuchoma kanisa wala hakuna aliyefunguliwa kosa hilo.
Tuhuma nyingi alizofunguliwa Ponda ni za kisanii tu kwa ajili ya kuwarizisha wakristo kwa kitendo cha kuchomewa
makanisa yao. makosa yote aliyoshitakiwa nayo ni almost impossible kuyathibitisha kwani yalifanywa na kundi kubwa
la watu na yeye hakuwahi kukamatwa ktk eneo la tukio.

USHAURI WANGU.
Bahati mbaya jk huwa hafanyi kazi bila kushinikizwa kwahiyo Kuna haja ya maaskofu kwenda kuonana na JK kuwasilisha malalamiko yao huku wakidemand kujua hatima ya makanisa yao kuhusiana na fidia na pia serikali inafanya nini kuakikisha uhuni huu hautokei tena na pia kutoa timeframe ktk kila wanalokubaliana never ever give him open ended
comittment.

yeye Ponda amechoma kanisa gn? kuna yeyote alikamatwa kwa uchomaji wa kanisa?
 
Mawazo yako ndiyo waislam siko zote wanalalamika, kuwaridhisha wakiristo kwa gharama ya muislam, Ponda kuwekwa ndani kwa kuwaridhisha wakiristo na kufunguliwa kesi za kisanii, huu ndio mfumo kristo tunaoukataa, kwanini yeye Ponda awe mbuzi wa Kafara? Yeye hana haki ya kuishi kwa amnai kama mapadre ?

Mkanisa yenyewe tumeyajenga kwa kodi zetu sisi waislam, na MoU. sioni sababu tena kwanini serikali walipie fidia, naamini kabisa Wakiristo wenzenu wakina Edward na wale mafisadi wengine wa TRA wataongeza kuvu za ufisadi kwa ajili ya kuchangia makanisa, kwa hiyo usijali Lowasa yupo???

Pesa za MOU zinajenga makanisa? Thibitisha kama kweli wewe ni mwislam wa kweli na mpenda haki. Na kwa nn jk alivyowaambia muombe mou yenu mkakataa? Hampendi amani bila shaka ..but muslims are safe only when they are in usa and europe
 
Back
Top Bottom