gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 14,274
- 17,730
Litajirudia na safari wale vijana hawataenda mikono mitupuWatu wameuawa, biashara,makazi, miundombinu imechomwa,maisha yametatizwa,nchi imechafuliwa
Yote haya yanatokana na wanasiasa na wanaharakati wao kuchochea vurugu mitandaoni na kauli zao za kuhamasisha kwenye majukwaa ya kisiasa
Wanasiasa na wanaharakati wote washughulikiwe mara moja Ili kuepusha hili kujirudia
Waliokamatwa wasirudi tena kwao... na ikithibitika mtu alivuka mipaka yetu kuja kutuvurugia amani, basi hata jivu lake lisirudi kwao!
Nyi wakosa adabu mtaendelea kuoneshwa serikali ni nini, nadhani mmeijua sasa..unahamasishwa na mdangaji yuko marekani,eti jeshi lipo na wananchi!Kuna mawili kama sio baba yako ni mama yako walibakana wala hawakukubaliana wote wawili wakapata mwamba ww hapo
KabisaLitajirudia na safari wale vijana hawataenda mikono mitupu
Kabisa,twaha mwaipaya,heche,lisuMange, Maria na Sativa wafunguliwe kesi.
Walioua wapandishwe vyeo na kupewa nishani za heshima sio?Watu wameuawa, biashara,makazi, miundombinu imechomwa,maisha yametatizwa,nchi imechafuliwa
Yote haya yanatokana na wanasiasa na wanaharakati wao kuchochea vurugu mitandaoni na kauli zao za kuhamasisha kwenye majukwaa ya kisiasa
Wanasiasa na wanaharakati wote washughulikiwe mara moja Ili kuepusha hili kujirudia
Gen z walikua hawajui serikali ni nini,walidhani wazee wao wajinga kuogopa serikali,sasa wameijuaKabisa
Unamaanisha jeshi huwa lipo upande wa wanasiasa?Nyi wakosa adabu mtaendelea kuoneshwa serikali ni nini, nadhani mmeijua sasa..unahamasishwa na mdangaji yuko marekani,eti jeshi lipo na wananchi!
Lissu na Heche tayari wana kesi hao. Hao wengine wangepelekwa tu KisutuKabisa,twaha mwaipaya,heche,lisu
Dola ilijua, ndiyo maana palikua na movement ya vyombo vya usalama,na wali-note raia nchi jirani wakiingia, ndiyo maana JF ilifungiwa, viongozi chadema walitiwa korokoroni,they knew,wakaandaa na strategy ya kukabili,mama akajiandikisha DodomaNadhani hamkutegemea kama wataandamana.
Kinachokuja ni zaidi ya hapo.
Na wanaoteka na kuua watu wanashughilikiwa lini?Watu wameuawa, biashara,makazi, miundombinu imechomwa,maisha yametatizwa,nchi imechafuliwa
Yote haya yanatokana na wanasiasa na wanaharakati wao kuchochea vurugu mitandaoni na kauli zao za kuhamasisha kwenye majukwaa ya kisiasa
Wanasiasa na wanaharakati wote washughulikiwe mara moja Ili kuepusha hili kujirudia
Yaani wasitoke wangese waleLissu na Heche tayari wana kesi hao. Hao wengine wangepelekwa tu Kisutu
Mbona wewe hujatekwa?Na wanaoteka na kuua watu wanashughilikiwa lini?