chikoxalate
Member
- Apr 18, 2018
- 62
- 22
Habari wana JF kwa wote waliochaguliwa chuo cha Mtwara College Of Health And Allied Science tukutane apa
salama,wewe umeshapata joining instruction?Habari wana JF kwa wote waliochaguliwa chuo cha MTWARA COLLEGE OF HEALTH AND ALLIED SCIENCE tuk
Nafikiri bado hawajatoa maana ata nikiingia hakunasalama,wewe umeshapata joining instruction?
Hivi vyuo vya serikali afya COHAS mwaka huu wamechukua mwisho ufaulu wa ngapi kwenye comb ya PCB hasa clinical medicineHabari wana JF kwa wote waliochaguliwa chuo cha MTWARA COLLEGE OF HEALTH AND ALLIED SCIENCE tukutane apa
Hapo sijajua ila kila chuo huwa kina cut point yake na pia kuna bahati kuna mwingine matokeo yake madogo amepata mwingne amefaulu zaid lakin amekosaHivi vyuo vya serikali afya COHAS mwaka huu wamechukua mwisho ufaulu wa ngapi kwenye comb ya PCB hasa clinical medicine
Swali gumu sn ila mwisho 2.12Hivi vyuo vya serikali afya COHAS mwaka huu wamechukua mwisho ufaulu wa ngapi kwenye comb ya PCB hasa clinical medicine
Kiasi tuCohas mpo vizuri sana