unaonekana umelewa weka hyo list ya waliochaguliwa,bado uko jkt
Vijana kuweni na subira taratibu za TCU ziko wazi kabisa kwamba baada ya kufanya selection awamu ya kwanza na ya pili basibmajina ya wote waliochaguliwa yalirejeshwa katika vyuo husika ili yakaguliwe kabla ya kuwekwa rasmi mtandaoni, hata hivyo baadhi ya vyuo husika vimeamua kujiridhisha na tayari yamewekwa katika website zao mfano: Jordan, Arch'Mihayo, Arusha univerty, Tumaini Makumira, etc. Hivyo basi kwa mujibu wa kanuni za kiutendaji tarehe 25August2013, majina yalirudishwa tena TCU ambapo hapo sasa kikao cha pamoja kikaitishwa ili kuyajadili, na wskati hilo linaendelea ndipo nafasi nyingine ikatolewa kwa awamu ya tatu wanafunzi wale waliokosa kujisajili nao wanajaza sasa ikihusishwa wanachuo waliomaliza diploma NT6 Level, na matokeo yao kutoka rasmi mwezi July. Hivo basi tunayatarajia majina kutangazwa rasmi wiki hii au mwishoni mwa mwezi huu, kuhusu website ya TCU kutokufunguka ni kwamba database inapokuwa inawekwa faili zenye Gygabyte kubwa basi access yake inakuwa limited hivo kitumbua kiko jikoni jiandaeni na vikombe vya maziwa kujua chuo gani umepangwa, mie nisistize tu kuwa hakuna chuo cha kata Tanzania hao wanaosema hivo hawajui degree inatafutwaje.
Leo tarehe 28/08/2013 tutayaweka majina ya waliochaguliwa kuijunga na chuo kikuu Ardhi.
[ The Tanzania Commission for Universities (TCU) , has submitted to respective learning institutions names of candidates for verification before they are released by the end of this month.
TCU spokesperson, Mr Edward Mkaku, told The Citizen that the names would be verified by the councils of each learning institution before being sent back to the commission by the 25th of this month.
It was earlier reported that a total of 39,140 candidates had applied to join higher learning institutions in different programmes this year, but TCU confirmed that over 8,000 applicants will miss out. After receiving the names... We will call a joint selection meeting, he said.]