Walioapply TANESCO, Customer Relation Officers

bampami

JF-Expert Member
Nov 5, 2011
5,697
4,107
Habari!!

Kwa wale walioapply Nafasi Hizi za Kazi zilizotolewa Tarehe 19th August, 2014.Tupeane Updates Hapa kama wameshaita kwa ajili ya interview n.k

Ahsanteni
 
Kama hizo post zilikua za mwezi wa nane kua mpole tu kaka hao jamaa baada ya miex miwil au mitatu ndo wataita si kuna post tuliapply mwezi wa sita ndo tumeitwa kufanya this coming week
 
Kama hizo post zilikua za mwezi wa nane kua mpole tu kaka hao jamaa baada ya miex miwil au mitatu ndo wataita si kuna post tuliapply mwezi wa sita ndo tumeitwa kufanya this coming week

Ohoo.....ahsante ndugu yangu...sikuwa nafahamu hilo sasa nimelijua!!
 
samahani hizo nafasi za mwezi wa sita ni zipi hizo, kwa sababu mi niliomba, zile za light current engineeer mpaka leo sijapata jibu,
 
Hv kwan waliofanya oral kwenye nafas hyo ya customer relation o,, wameshaingia mzigoni????
 
Hawana tofauti na BOT,utashangaa unaitwa hata baada ya miaka miwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…