Kingdom Animalia
Member
- Jan 26, 2017
- 63
- 69
Na ambao bado hawajapata hata hiyo kazi hawahitajiki???Nina project nzuri kwa walio acha au kuachishwa kazi hasa katika Sekta ya Elimu na Afya kama we ni Mmojawapo basi usikate Tamaa Hiyo Elimu yako itakusaidia nicheki inbox kuna NGO Inakuhitaji nikudirect
Sent from my Infinix-X554 using JamiiForums mobile app
Waliocha au kuachiswha ndio wanahitajikaNa ambao bado hawajapata hata hiyo kazi hawahitajiki???
Ulivyoacha ulipewa barua au uliandika baruaJe kama nimeacha mwenyewe? Nahitajika?
Ulivyoacha ulipewa barua au uliandika barua
Sent from my Infinix-X554 using JamiiForums mobile app
Vipi kuhusu kilimo mkuuNina project nzuri kwa walio acha au kuachishwa kazi hasa katika Sekta ya Elimu na Afya na Kam uliacha au kuachishwa Ukapewa na Barua...kama we ni Mmojawapo basi usikate Tamaa Hiyo Elimu yako itakusaidia nicheki inbox kuna NGO Inakuhitaji nikudirect
Vipi kuhusu kilimo mkuuNina project nzuri kwa walio acha au kuachishwa kazi hasa katika Sekta ya Elimu na Afya na Kam uliacha au kuachishwa Ukapewa na Barua...kama we ni Mmojawapo basi usikate Tamaa Hiyo Elimu yako itakusaidia nicheki inbox kuna NGO Inakuhitaji nikudirect
Umevaa miwani ya Mbao ama umeona kilimo kimezungumziwa hapo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Vipi kuhusu kilimo mkuu
Fursa Ipi hiyo unafanya bureKwa anayetaka barua ya kuachishwa kazi ili achukue hiyo fursa namfanyia bureee!!
Mimi pia nawasaidia kuhusu barua ya kuachishwa kazi Kwa ambao hawana ili uwaunganishe na hiyo NGO..Fursa Ipi hiyo unafanya bure
Sent from my Infinix-X554 using JamiiForums mobile app