Walimu watangaza mgomo nchi nzima

Hiyo ndio inatakiwa nawaunga mkono wagome, na maaskari wagome na watumishi wa umma ndio serikali ya CCM itatia akili na wabunge wao bungeni.
 
Viongozi wao wanatafuta masilahi binafsi mana siku hizi ukitangaza mgomo tu kesho yake KV anakuita akupoze.
 
Waalimu hata wachinjwe kugoma ni mwiko kwanza wengi wao hawajielewi na wala hawajui haki yao..... hawana umoja hata siku moja

mkuu walimu wa sasa hivi ni mwanzo mwisho mkuu. Kizazi cha dot.com tumeingia rasmi kwenye hii taaluma. Hatuendekezi upuuzi. Haki mbele.
 
Back
Top Bottom