School face
JF-Expert Member
- Sep 12, 2019
- 247
- 412
Habari wana Jf
Jana katika pitapita zangu nikapita kwenye ofisi mmoja hivi nikakutana na umati wa watu wengi nilipo ulizia Kuna nini hapa nikaambiwa Kuna usaili unafanyika maeneo haya na ni usaili wa kutafuta wasimamizi watakao simamia vituo vya kupiga kura
Kama ilivyo zoeleka kuwa wasimamizi wengi hua ni walimu wa shule za msingi na baadhi ya walimu wa shule za secondary.
Lakini nilisikitika sana baada ya kuwaona baadhi ya walimu wa chuo flani ivi tena chuo kikubwa wakiwa nao wamepanga foleni kwaajili ya usaili kwakwel nilijiuliza maswali mengi sana lakini sikuweza kupata majibu.
Je ni sahihi walimu wa vyuo kuomba nafasi za kusimamia vituo vya kupigia kura.
Jana katika pitapita zangu nikapita kwenye ofisi mmoja hivi nikakutana na umati wa watu wengi nilipo ulizia Kuna nini hapa nikaambiwa Kuna usaili unafanyika maeneo haya na ni usaili wa kutafuta wasimamizi watakao simamia vituo vya kupiga kura
Kama ilivyo zoeleka kuwa wasimamizi wengi hua ni walimu wa shule za msingi na baadhi ya walimu wa shule za secondary.
Lakini nilisikitika sana baada ya kuwaona baadhi ya walimu wa chuo flani ivi tena chuo kikubwa wakiwa nao wamepanga foleni kwaajili ya usaili kwakwel nilijiuliza maswali mengi sana lakini sikuweza kupata majibu.
Je ni sahihi walimu wa vyuo kuomba nafasi za kusimamia vituo vya kupigia kura.
.
.........