Walimu wa Tuition Wanahitajika

Walimu wa Tuition Wanahitajika

ELAFU

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2014
Posts
410
Reaction score
151
Ni Katika Kituo Cha Elimu Na Mafunzo Cha TECETRA ACADEMY Kilichopo Temeke (Barabara Ya Buza, Kituo Cha Kwa Mama Kibonge).

Walimu Wa Masomo Ya Science, Arts, Biashara, Hesabu, Computer, English Course N.K. Wanahitajika Kwa Shule Za Msingi Na Secondary (O-level Na A-level). Pia Kuna Nafasi Ya Mshauri Wa Masuala Ya Fedha Na Maendeleo Ya Mradi.

Maombi Yote Yapelekwe Kwa Mkono Kituoni au Yatumwe Kwa E-mail Kwenda tecetra@gmail.com Kabla Ya Tarehe 31/7/2015.

Watakaochaguliwa Wataitwa Tarehe 1/8/2015 Kufanya Usaili Kituoni Saa 8:00 Mchana.

Kwa Mawasiliano Zaidi Piga Simu Namba +255 659 528 724.
 
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi nimemaliza chuo mwezi wa 5 naruhusiwa kutuma maombi?
 
Mbona salary hujaweka au kwa Kuwa ni tutor? Be hiyo ya fedha na maendeleo copies?
 
Mbona salary hujaweka au kwa Kuwa ni tutor? Be hiyo ya fedha na maendeleo copies?

Atakayefaulu Interview Atafahamu Mshahara Wa Post Atakayopata. Karibu Sana Mkuu
 
tujuze mkuu kama matokeo ya usaili yashatoka na watu wameshaingia mzigoni
 
Back
Top Bottom