Walimu kutokupandishwa madaraja

Walimu kutokupandishwa madaraja

baba ye2

Member
Joined
Jun 8, 2013
Posts
67
Reaction score
10
Kuna ndugu yangu mmoja hapa Arusha ambaye anafanya kazi ofisi za jiji amenidokeza walimu wote, walioanza kazi mwaka 2011 mpaka mwaka huu 2014 ambao kimsingi wamesha maliza miaka mitatu kazini hivyo wanadeserve kupandishwa daraja, serikali imesha anza dana dana kua eti mwaka wao unaanza mwaka 2012 kwa kua ndo mwaka wa kuthibitishwa kazini. Hivyo miaka mitatu kwa mujibu wa serikali miaka 3 itakua mwaka 2015 ndio mwaka wa kupandishwa daraja..ONYO: Nawaambia mapema msijaribu, intake ya mwaka huo ni hataree muulizeni aliyekua mkurugenzi Estomii Chang'a aliyejaribu kumeza fedha za substitutional allowance za walimu mwanzôn mwa mwaka 2011.
 
Walimu na nyie mmezid kukubali kuonewa bhanaaaa. Acheni muonewe tu maana hamna umoja kabisa ndo maaana hata wa kuwatetea hakuna
 
Waaalimu Wa Nchi Hii Wanajiangusha Wenyewe!! Ndio Maana Niliikataaa Hii Kazi Kwa Sababu Ya Kujiunga Na Watu Wasio Na Vision
 
mkuu kama wameajiriwa mwaka 2011 basi wamewekewa bajeti ya kupandishwa mwaka 2015/2016 kwenye Peronal Emolument budget (PE).

Ushauri wasihae kabla hawajafikisha miaka miatatu kwani ukihama tayari umeshadisturb mlolongo wa kupata cheo kwani huko unakohamia wataanza kuhesabu kuanzia tarehe uliyohamia
 
Back
Top Bottom