Walimu kupangwa moja kwa moja shuleni

Walimu kupangwa moja kwa moja shuleni

BRAND

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2013
Posts
296
Reaction score
260
Walimu watakaoajiriwa watapangwa moja kwa moja shuleni na maeneo yenye upungufu' [HASHTAG]#Waziri[/HASHTAG] mkuu KASSIM MAJALIWA-Bungeni
 

Attachments

  • Insta-image-2.jpg
    Insta-image-2.jpg
    20.7 KB · Views: 37
Waseme lini wao kila siku kauli tu uongo mtupu halafu wao ndo wa mwanzo kukemea kudanganywa
 
Teh teh....hadi raha...stori haziishi.....
 
bora maana kwa mkurungenzi wengi hutoa rushwa wabaki mjin wakat mashule ya vijin hayana waalim wa kutosha hasa wasa sayansi
 
Na zamu hii wanasema usiporipoti ndo wanafuta ajira hakuna ujanja ujanja wa kwenda kuripoti halafu unarudi na kwenda kuchukua ajira private sekta huko st. Anyiitike Pre and Inglish skuls kupata ajira hafu unakula mishahara miwili miwili, lazima kunyooka zamu hii.Shkamooo mwalimu, marahaba kaa chini,Asante!😛
 
Tumedanganywa vya kutosha sasa watu tunataka kufahamu lini ajira zitawekwa wazi ili tujue wapi tumepangiwa
 
Ujanja ujanja
Uongo uongo
Fitna fitna
Uzushi uzush hizi
 
Uzandiki tu,we unadhani watatangaza now hzo ajira na hivi kuna janga la taifa hilo tetemeko ndo itakuwa kigezo kingine ,hiyo ni mwakani,wale wasanaa mguu nje mguu ndani.mwez huu shule zinafungwa,ok wakisema november dec shule znafungwa huoni huo ni mchezo tu wa sirikali
 
Na zamu hii wanasema usiporipoti ndo wanafuta ajira hakuna ujanja ujanja wa kwenda kuripoti halafu unarudi na kwenda kuchukua ajira private sekta huko st. Anyiitike Pre and Inglish skuls kupata ajira hafu unakula mishahara miwili miwili, lazima kunyooka zamu hii.Shkamooo mwalimu, marahaba kaa chini,Asante!😛
1474203274075.jpg
 
Back
Top Bottom