Walimu kumbukeni hakuna mshahara mwingine mpaka tar 22 ijayo

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
14,304
29,837
Mishahara yenu ni midogo sana haiwezi hata kununua nguo Kariakoo tafadhari saana nunueni chakula tuu,nunueni maharage, mahindi na mafuta basiii ili msife na kulala njaa. Tumechoka kuona majina yenu Kwa kimaro kila siku mnakopa mpaka dagaa za fungu la Mia tano

Kwasababu nyie hamna nia ya kuwa na maisha ya kawaida Bali mmeona niwamaisha ya kimasikini tu basi kuweni na akili ya matumizi maana huo mshahara ni against kabisa na sheria za ILO ila nyie hata hamuwazi maana akili zenu zimefreez
 
FB_IMG_16929776565318118.jpg
 
Mishahara yenu ni midogo sana haiwezi hata kununua nguo Kariakoo tafadhari saana nunueni chakula tuu,nunueni maharage, mahindi na mafuta basiii ili msife na kulala njaa. Tumechoka kuona majina yenu Kwa kimaro kila siku mnakopa mpaka dagaa za fungu la Mia tano

Kwasababu nyie hamna nia ya kuwa na maisha ya kawaida Bali mmeona niwamaisha ya kimasikini tu basi kuweni na akili ya matumizi maana huo mshahara ni against kabisa na sheria za ILO ila nyie hata hamuwazi maana akili zenu zimefreez
Hao walimu Huwa no WA wapi!!?

Mbona huwa siwaoni!!?

Labda was huko Dar!was mikoani sidhani Kwa Karne hii Kuna mwalimu ambae haingizi walau laki tatu hadi nne za ziada mbali na mshahara aiseh!!

Hai walim labda was enzi za mwalim!!
 
Walimu hatukufuatilii tena kwani umeshavuliwa ubingwa wa kiume. We subiri tu update jamaa tena Papa karuhusu mbarikiwe. Walimu hatununui wala hatutumii mavi. Bora tuendelee kusubiria mshahara kuliko kuuza utu wetu kwa ajili ya Fedha.😀😆😁🤣
 
Hao walimu Huwa no WA wapi!!?

Mbona huwa siwaoni!!?

Labda was huko Dar!was mikoani sidhani Kwa Karne hii Kuna mwalimu ambae haingizi walau laki tatu hadi nne za ziada mbali na mshahara aiseh!!

Hai walim labda was enzi za mwalim!!
Mkuu usichekeshe watu mwalimu aingize laki Tatu nje ya mshahara siatakufa Kwa pressure na majungu kazini
 
Ni kamzozo
Mshahara wanaopata ni mbovu wakudharirisha utu wao na kusahau kuwa wao ni binadamu sio ndege Wala punda wa mizigo ajabu ni kuwa hawawazi kabisa

Shirika la wafanyakazi Duniani ILO limeweka sheria Zipo wazi, mshahara ukidhi mahitaji ya kuishi kama binadamu anaeendana na karne sio umuweke kwenye mkwamo
 
Mishahara yenu ni midogo sana haiwezi hata kununua nguo Kariakoo tafadhari saana nunueni chakula tuu,nunueni maharage, mahindi na mafuta basiii ili msife na kulala njaa. Tumechoka kuona majina yenu Kwa kimaro kila siku mnakopa mpaka dagaa za fungu la Mia tano

Kwasababu nyie hamna nia ya kuwa na maisha ya kawaida Bali mmeona niwamaisha ya kimasikini tu basi kuweni na akili ya matumizi maana huo mshahara ni against kabisa na sheria za ILO ila nyie hata hamuwazi maana akili zenu zimefreez
DJ Walete walimu na nyimbo ya Wakosi wa Kaya Walimu tuna Hali ngumu.
 
Mkuu usichekeshe watu mwalimu aingize laki Tatu nje ya mshahara siatakufa Kwa pressure na majungu kazini
Kuna kizazi Cha miaka ya 80 mwishoni Ajira ya 2013,2014,2015 no hatari mkuu wengi hategemei mishahara yaani wanaikopea inaisha yote wanaweka mizigo site hawana mawazo na tarehe za mwezi wanaingiza Kila siku hela!!

Ishu no location na unafanya nini TU !!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom