The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,950
- 12,549
Ila mimi napingana Kabisa na Aproach inayo tumiwa na walimu Kugoma, Kwa nini wasiige wenzao wa Kenya? Walimu wa Keny wao wanapambana na Serikali yao na si kuwafelisha watoto kwa sababu wanajua Madhara yake kwa baadae na itakuja kuwrudi wenyewe,
Walimu wa Bongo ni waoga Mno, na swala la Kufelisha watoto halikubaliki kamwe, ni kwa nini Msigome live?
Hao nyumbu tu hawana lolote!
Nyumbu mwenyewe.