Walimu kufundisha kuwa Ulimi umegawanyika kwenye radha 3; chungu, chachu na tamu NI UONGO

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Aug 4, 2014
1,637
458
Kwa miaka mingi nchi hii walimu hasa kwenye somo la sayansi kwa Elimu ya msingi na sekondari wamekuwa wakifundisha kuwa Organ ya ulimi imegawanyika sehemu 3 za radha; yaani chungu, chachu na tamu. Funzo hili wamelitoa kwenye vitabu vya mitaala waliyoikuta na hakuna aliyewahi kuchunguza kisayansi kama jambo hili ni kweli au la.

Naomba niwatangazie wanafunzi wa ngazi zote kuwa theory hii ni uongo wa kutupwa kwa mujibu wa Experiment iliyofanyika Yale University hivi karibuni (ntaweka linki baadae), ingawa katika hali ya kawwida hata bila Brockbuster Research kufanyika, kiutu uzima chachu inaeleweka, chungu inaeleweka na tamu inaeleweka.

Baadae.
 
Kwa miaka mingi nchi hii walimu hasa kwenye somo la sayansi kwa Elimu ya msingi na sekondari wamekuwa wakifundisha kuwa Organ ya ulimi imegawanyika sehemu 3 za radha; yaani chungu, chachu na tamu. Funzo hili wamelitoa kwenye vitabu vya mitaala waliyoikuta na hakuna aliyewahi kuchunguza kisayansi kama jambo hili ni kweli au la.

Naomba niwatangazie wanafunzi wa ngazi zote kuwa theory hii ni uongo wa kutupwa kwa mujibu wa Experiment iliyofanyika Yale University hivi karibuni (ntaweka linki baadae), ingawa katika hali ya kawwida hata bila Brockbuster Research kufanyika, kiutu uzima chachu inaeleweka, chungu inaeleweka na tamu inaeleweka.

Baadae.

Aliyewadanganya unaowalaumu ndiye aliyekudanganya nawe ukaandika kama ulivyoandika humo kwenye red
 
Kuhusu swala la ulimi kuonja ladha tatu tu si kweli ingawa mtoa mada hakukamilisha kazi yake.
 
Tofauti ya mimi na mtoa mada kwa kigezo gani?,umri,elimu,muda wa kujiunga jamii forum,jinsia amma kuwasilisha mada jamii forum?.

Pia,hujajibu swali langu.
Tatizo wewe unapenda spoon feeding, jiulize na ufikiri kwa umakini utapata jibu
 
Tatizo wewe unapenda spoon feeding, jiulize na ufikiri kwa umakini utapata jibu
NI kwel kabisa...ulimi una sehemu kuu kama nne hiv za ku taste ladha ya vitu tofauti (taste buds) ambazo ni fungiform,circumvallate,filiform which has no taste buds, na foliate papilla) kwa pamoja zote zina taste aina zote za ladha....kule primary mlikuwa mnasoma sayansi na mlipofika sekondari mkasoma biology ila mngeendelea mbele mngekutana na kitu kinaitwa anatomy & physiology.
Kuhusu swala la ulimi kuonja ladha tatu tu si kweli ingawa mtoa mada hakukamilisha kazi yake.

Kuhusu swala la ulimi kuonja ladha tatu tu si kweli ingawa mtoa mada hakukamilisha kazi yake.
 
Kwa miaka mingi nchi hii walimu hasa kwenye somo la sayansi kwa Elimu ya msingi na sekondari wamekuwa wakifundisha kuwa Organ ya ulimi imegawanyika sehemu 3 za radha; yaani chungu, chachu na tamu. Funzo hili wamelitoa kwenye vitabu vya mitaala waliyoikuta na hakuna aliyewahi kuchunguza kisayansi kama jambo hili ni kweli au la.

Naomba niwatangazie wanafunzi wa ngazi zote kuwa theory hii ni uongo wa kutupwa kwa mujibu wa Experiment iliyofanyika Yale University hivi karibuni (ntaweka linki baadae), ingawa katika hali ya kawwida hata bila Brockbuster Research kufanyika, kiutu uzima chachu inaeleweka, chungu inaeleweka na tamu inaeleweka.

Baadae.

= ladha
 
Kwa miaka mingi nchi hii walimu hasa kwenye somo la sayansi kwa Elimu ya msingi na sekondari wamekuwa wakifundisha kuwa Organ ya ulimi imegawanyika sehemu 3 za radha; yaani chungu, chachu na tamu. Funzo hili wamelitoa kwenye vitabu vya mitaala waliyoikuta na hakuna aliyewahi kuchunguza kisayansi kama jambo hili ni kweli au la.

Naomba niwatangazie wanafunzi wa ngazi zote kuwa theory hii ni uongo wa kutupwa kwa mujibu wa Experiment iliyofanyika Yale University hivi karibuni (ntaweka linki baadae), ingawa katika hali ya kawwida hata bila Brockbuster Research kufanyika, kiutu uzima chachu inaeleweka, chungu inaeleweka na tamu inaeleweka.

Baadae.
Mimi nikafikri research umeifanya mwenyewe, kumbe ya kutumia google! Shame on you!!
 
Back
Top Bottom