Mkuu kasome tena sheria za kazi na utumishi,sheria inasema kuwa mtumishi anaweza lipwa fedha ya uhamisho ikiwa amekaa kwa kituo chake cha kazi zaidi ya miaka mitano hata kama ataomba yeye kuhama,elewa neno anaweza lipwa,hivyo sheria haijeweka ulazima kama ilivyo kwa mtumishi ambaye atahamishwa na mwajiri wake