Kafulila ni ngedere according to werema
kama huna cha kuchangia pita zako ,bila wao hata kuandika hayo uliyo andika usiwengeza kuandika hayo uliyo andikaKwani ualimu ni kazi au kibarua? kama ni kibarua si huwa wanalipwa kila siku ama week baada ya kazi sasa iwaje wao walundikizie pesa zao???
Kwani ualimu ni kazi au kibarua? kama ni kibarua si huwa wanalipwa kila siku ama week baada ya kazi sasa iwaje wao walundikizie pesa zao???
kwa kuwa wewe upo kitaa bila ya ajira, wivu umekujaa kwa walimu wanaojilia mishahara yao kiulaini!! utaishia hivyohivyo kusugua benchi kitaa nyau wewe!!!
Elimu yako uliyoipata wala haina faida na inaonekana haijakukomboa...wasilipwe tu hawana faida yoyote walimu wa nchi hii..kwanza ndo wanaoifanya CCM mpka leo inakaa madarakani...to hell na malimbikizo ya mavitu yao watasubiri yesu arudi walipwe
Kucheleweshwa pesa zako za kibaruani kumekutoa akili mpaka unafikiri kuwa watu wote ni wasugua ma*t*ko katika benchi la ajira!!! njoo nikupe ajira achana na hicho kibarua chako...kama uko tayari sikulazimishi mkuu...
Mimi ninawalaumu sana viongozi wa CWT ambao wameolewa na CCM na kuwatelekeza walimu , ninaahidi kuanzisha harakati ya walimu kujitoa uanachama wa CWT. Viongozi wa CWT, SASA wamebeki kuwa wezi wanao komba fedha kutoka mishahara ya walimu tena bila ridhaa yao. Ndio maana serikali inawachezea walumu kiasi hiki. Sababu chama cha walimu kimeingiliwa na matapeli.
I Think U Have Emotional Turmoil, Why Dont U Critisize Like Literate? Do U Know The Value Of Education That Brought To You By Teachers? I Will Never Shut Up For Such Kind Of Dirty Statement
kama huna cha kuchangia pita zako ,bila wao hata kuandika hayo uliyo andika usiwengeza kuandika hayo uliyo andika
Kucheleweshwa pesa zako za kibaruani kumekutoa akili mpaka unafikiri kuwa watu wote ni wasugua ma*t*ko katika benchi la ajira!!! njoo nikupe ajira achana na hicho kibarua chako...kama uko tayari sikulazimishi mkuu...