HORSE POWER
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 2,328
- 1,666
Swadaqta thuma Swadaqt alf swidq !!!Nimekuja huku kukumbushana tu maana hata mimi ukumbusho huu unanihusu.
Zinaa ni uchafu na ni njia mbaya lakini wanaadamu tumeihalalisha rasmi.Sasa ni vyema tukazingatia yafuatayo;
Ukizini na mara moja uchafu huo wa zinaa utakuandama mpaka na wewe watu wako wanne wa karibu nao waziniwe vile vile.Nao ni mama yako mzazi,dada yako,mkeo na binti yako.Na wanaziniwa kidhalili ili kufidia fujo unazofanya.Ukimzini dada wa mtu kwa pesa basi dada yako anaziniwa bure.Ukimzini dada wa mtu gesti basi dada yako anaziniwa kwenye mapori.Ni malipo kamili kwa wafanyao uchafu huu.
'What goes around comes around'.
Utakua ni ufunuoMkuu huu nao ni utafiti au umeoteshwa?
Subhannallah!Swadaqta thuma Swadaqt alf swidq !!!
Kwan ww huna bwanaHiyo inaitwa 'Karma' hehe...
Halafu hata kwenye ulimwengu wa roho jamani kuzini ni vibaya mnooo...
Unaeza beba mabalaa na mikosi usioijua...
Unavyomtamani Mshana ina maana ukimpata mtakuwa mnaangaliana kama picha tu?[emoji1]Hiyo inaitwa 'Karma' hehe...
Halafu hata kwenye ulimwengu wa roho jamani kuzini ni vibaya mnooo...
Unaeza beba mabalaa na mikosi usioijua...
Nimekuja huku kukumbushana tu maana hata mimi ukumbusho huu unanihusu.
Zinaa ni uchafu na ni njia mbaya lakini wanaadamu tumeihalalisha rasmi.Sasa ni vyema tukazingatia yafuatayo;
Ukizini na mara moja uchafu huo wa zinaa utakuandama mpaka na wewe watu wako wanne wa karibu nao waziniwe vile vile.Nao ni mama yako mzazi,dada yako,mkeo na binti yako.Na wanaziniwa kidhalili ili kufidia fujo unazofanya.Ukimzini dada wa mtu kwa pesa basi dada yako anaziniwa bure.
Ukimzini dada wa mtu gesti basi dada yako anaziniwa kwenye mapori.Ni malipo kamili kwa wafanyao uchafu huu.
'What goes around comes around'.
anawezaje kukupa msaada?Katika dhambi ngumu kuziepuka, mojawapo ni hii ya uzinzi. Ila kwa msaada wa Mungu inawezekana!
Science ya wapi
Universal Law