serengo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 488
- 362
Kampuni ya Olam Tanzania LTD tawi la Bukoba(Kagera zonal) imetangaza nafasi za kazi (operation officer) kwa ajili ya ununuzi wa zao la kahawa sifa za mwombaji ni kuanzia kidato cha sita , tuma maombi yako kwa:
BRANCH CO ORDINATOR
OLAM (T ) LTD
P.O.BOX 489,BUKOBA
ambatanisha cv, copy za vyeti na pasport size 2. au waweza peleka jengo na NSSF chumba no.301 Bukoba,:mwisho wa kupokea maombi ni 24.4.2015,kwa wale wa Bukoba sikiliza kasbante FM utasikia matangazo.
BRANCH CO ORDINATOR
OLAM (T ) LTD
P.O.BOX 489,BUKOBA
ambatanisha cv, copy za vyeti na pasport size 2. au waweza peleka jengo na NSSF chumba no.301 Bukoba,:mwisho wa kupokea maombi ni 24.4.2015,kwa wale wa Bukoba sikiliza kasbante FM utasikia matangazo.