LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,146
- 11,192
- Thread starter
- #201
Zinatakiwa zitolewe kitaalam na sio kuzitoa na vijiti la sivyo ipo siku yako ya kilioAsante kwa somo, mimi nilifundishwa tuzitoe ili kusafisha sikio. Kuna mmoja alipochungulia kwenye sikio langu akakutana na mzigo wa maana kama volcano akatema mate chini akaniambia uwe msafi. Tangia siku hiyo hadi leo natoaga nta