Wale waliozaliwa tr29.2 huu mwaka inakuaje sasa

harder king

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
3,970
6,898
Wakuu habar za mda huu.
Naomba kuliz iv waliozaliwa hyo tar hapo juu inakuaje mwaka huu maana imekwamia 28
 
Leap day!
c8dcea06ffc984f69ff3725a895a4bef.gif
 
Duuh kweli watu mko vizuri sisi wengine tunaisoma namba mpaka birthday tushazisahau tunasubiri deathday tu na mzigo hautakuwa wa kwetu wata deal nao wengine
 
Back
Top Bottom