kipusy
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 639
- 321
Washkaji wote waliosoma Tambaza enzi zileeee big up sana
Mnamkumbuka nyau, Mwl. Mushi, LIle sooo la Kuwatwanga Jitegemee sec, Kakonda kalidanji mitaa ya Keko, Mnakumbuka ile mikanda uliyokua unachapwa pale kantin kugombea menyu? Kina Dictetor mpoo? Kina Kanaluza.
Lile soo la vitabu ni soo babaake, kuna mtu ambaye alikosa volume siku ile kweli?
Mnamkumbuka nyau, Mwl. Mushi, LIle sooo la Kuwatwanga Jitegemee sec, Kakonda kalidanji mitaa ya Keko, Mnakumbuka ile mikanda uliyokua unachapwa pale kantin kugombea menyu? Kina Dictetor mpoo? Kina Kanaluza.
Lile soo la vitabu ni soo babaake, kuna mtu ambaye alikosa volume siku ile kweli?