Wale waishio mikoa ya nyanda za juu kusini, tufahamiane hapa

salaam,
hii ni kwa wale wote waishio mikoa ya kusin kusin....kwa kina kamwene,mwagona,ughonile,mwakata,mapembelo.....nk.tufahamiane jaman.Tafadhali.
Iz mambo za kuwa na mpenz from mbeya to kigoma sijui bukoba au Mara....umepatwa na mihamu yote inaishia njian kwa uchovu wa safari na ukifika lazima utoe penz japo umechoka coz mwenzio nae alikuwa anakusubiri kwa hamu.
Umbali nao ni janga haswa kwenye suala la ndoa...ifikapo harusi bas unajikuta huna ndugu walokusindikiza zaidzaid utawaona wazaz wako,tatizo nini utasikia gharama ya nauli na umbali.

Tafadhali hili ni muhimu sana jaman......hapa hakuna kuogopana ii no sehemu ya maisha yetu. u are welcome
Mkuu naomba unikumbushe hayo maneno... Ughonile, mwagono na mwakata yana maana gani vilee... Maana nimesahau kidogo...So nimeishi huko mwaka mmoja na nusu pale Mafinga Town
 
salaam,
hii ni kwa wale wote waishio mikoa ya kusin kusin....kwa kina kamwene,mwagona,ughonile,mwakata,mapembelo.....nk.tufahamiane jaman.Tafadhali.
Iz mambo za kuwa na mpenz from mbeya to kigoma sijui bukoba au Mara....umepatwa na mihamu yote inaishia njian kwa uchovu wa safari na ukifika lazima utoe penz japo umechoka coz mwenzio nae alikuwa anakusubiri kwa hamu.
Umbali nao ni janga haswa kwenye suala la ndoa...ifikapo harusi bas unajikuta huna ndugu walokusindikiza zaidzaid utawaona wazaz wako,tatizo nini utasikia gharama ya nauli na umbali.

Tafadhali hili ni muhimu sana jaman......hapa hakuna kuogopana ii no sehemu ya maisha yetu. u are welcome
Mkuu naomba unikumbushe hayo maneno... Ughonile, mwagono na mwakata yana maana gani vilee... Maana nimesahau kidogo...So nimeishi huko mwaka mmoja na nusu pale Mafinga Town
 
Ushirika- tukuyu hapa imoooooooooooooooooooooooooooooooo

duuh boda la mkato kuelekea lutengano,nimesoma huko o'level...fabby alitengeneza radio station yake unamfahamu mkuu?
ni mdogo wa sauli hapo..
gwamaka je?
ntully?
juma mwasalemba?
rose pataya?
hao wote classmates wangu from ushirika..
 
Back
Top Bottom