Hapana, serikali kuu iliyopendekezwa na wengi ndio moja, hii itakuwa na mamlaka katika mambo machache yanatakayoanishwa. Hakutakuwa na serikali kuu nyingi nyingi na waliopendekeza serikali kuu moja si wachache.
Duh! Uko sahihi Nd. Anheuser! Uko sahihi kuwa serikali kuu iliyopendekezwa na wengi ndio moja, hii itakuwa na mamlaka katika mambo machache yanatakayoanishwa. Hakutakuwa na serikali kuu nyingi nyingi na waliopendekeza serikali kuu moja si wachache. Sawa?