Wale wa JKT: Vipi kuhusu Ajira

Wale wa JKT: Vipi kuhusu Ajira

Polen ndugu, kikubwa uvumilivu, na sisi kitaa tunataabika tunaambiwa ajira zinaanzia kutangazwa kwenu,sasa sijui inakuwaje hapo ikiwa na nyie mpo njia panda
 
Wana jf wanaofaham msaada please,vp ajira kwa wale walioko JKT mana hakuna updates zozote tupo tu tunalima,vip sekretariet ya ajira hawapitii kuchukua watu huku mana RAIS KIKWETE alisema sekta zote za serikali zianze kuajiri kupitia JKT,ni mwaka na nusu degree holders tupo huku,na umri unakwenda watu wamechoka huku.
Wewe hujui kuwa kauli za rais huwa ni za kisanii?walisema JWTZ na Polisi wachukue vijana toka JKT tuu lakini wapi pesa yako na god father ndiyo inakupeleka huko
 
sasa hivi hapa unafikiri ni seheemu sahihi ya swali lako?
kwann usirudi kitaa ukatafute kazi kama umepachoka JKT?
 
ctak kuamin kuwa upo mwaka na nusu jkt labda kama ni darasa la 7 au fm 4 coz dogo ameingia amekaa miez 3akachuliwa jwtz yy kidato cha 6
 
ctak kuamin kuwa upo mwaka na nusu jkt labda kama ni darasa la 7 au fm 4 coz dogo ameingia amekaa miez 3akachuliwa jwtz yy kidato cha 6

huo ndo ukwel wenyewe, hasa kwa graduates wa op miaka 50 ya jkt, kama hauna refa huendi tpdf. Waulize op sensa watawaambia ukwel wenyewe.
 
Wana jf wanaofaham msaada please,vp ajira kwa wale walioko JKT mana hakuna updates zozote tupo tu tunalima,vip sekretariet ya ajira hawapitii kuchukua watu huku mana RAIS KIKWETE alisema sekta zote za serikali zianze kuajiri kupitia JKT,ni mwaka na nusu degree holders tupo huku,na umri unakwenda watu wamechoka huku.

Kuna shavu la investigator Mtwara moja ya kampuni za gesi, una cheti cha JKT?
 
huo ndo ukwel wenyewe, hasa kwa graduates wa op miaka 50 ya jkt, kama hauna refa huendi tpdf. Waulize op sensa watawaambia ukwel wenyewe.

kaka op sensa ndo watu gan hao.. na kukaa kwenye kambi za malez jkt c
mwisho miaka2 tuu
 
Back
Top Bottom