kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
Kwenye maisha ya ndoa unatakiwa uwe na akili sana na kufanya maamuzi sometimes magumu ili maisha yaendelee. Kuna wanaoamua kufuata mfumo dume kutokana na aina ya wake zao, wengine mfumo shirikishi umewasaidia wafike mbali kimafanikio. Leo tushirikishane wale walioamua kufuata mfumo dume. Je, kitu gani kiliwafanya kufikia hatua hiyo?
Back in 2014 nilihamishiwa mkoa flani kikazi baada ya kufika jambo la kwanza nilinunua kiwanja sq meter 924. Kumshirikisha mke wangu akakakataa kabisa tusijenge kisa kipo porini sana, nikajaribu kumuelewesha kuwa ndio mji unakoelekea pia ni kwa kimepimwa so ni security tosha hakiwezi kuvamiwa wala kusogeza mpaka.
Wife alitia ngumu sana hakutaka kushiriki hata hela aliyoniahidi atatoa kwenye biashara zake niongezee kwenye ujenzi akagoma. Akaja na hoja bora tujenge Dar aisee nikafikiria Dar sina ndugu wa kumuamini nimtumie hela asimamie ujenzi nikaona ujinga NIKAPIGA CHINI.
Nikaamua kijenga bila kumshirikisha chochote mpaka 2018 namaliza ujenzi by the time umeme umefika maji yapo na barabara zimeboreshwa. Nimempeleka site nyumba imekamilika anahamaki kuwa kumbe maeneo yalikuwa mazuri na mji umetanuka "ananisifia nina akili sana" kumbe alininyima support. Ningefuata ushauri wake mpaka sasa sina nyumba na familia imeongezeka.
Back in 2014 nilihamishiwa mkoa flani kikazi baada ya kufika jambo la kwanza nilinunua kiwanja sq meter 924. Kumshirikisha mke wangu akakakataa kabisa tusijenge kisa kipo porini sana, nikajaribu kumuelewesha kuwa ndio mji unakoelekea pia ni kwa kimepimwa so ni security tosha hakiwezi kuvamiwa wala kusogeza mpaka.
Wife alitia ngumu sana hakutaka kushiriki hata hela aliyoniahidi atatoa kwenye biashara zake niongezee kwenye ujenzi akagoma. Akaja na hoja bora tujenge Dar aisee nikafikiria Dar sina ndugu wa kumuamini nimtumie hela asimamie ujenzi nikaona ujinga NIKAPIGA CHINI.
Nikaamua kijenga bila kumshirikisha chochote mpaka 2018 namaliza ujenzi by the time umeme umefika maji yapo na barabara zimeboreshwa. Nimempeleka site nyumba imekamilika anahamaki kuwa kumbe maeneo yalikuwa mazuri na mji umetanuka "ananisifia nina akili sana" kumbe alininyima support. Ningefuata ushauri wake mpaka sasa sina nyumba na familia imeongezeka.