Habari wakuu
Kwa wale ambao mlikua mnamiliki vyombo vya usafiri na sasa hamna kwa namna moja au nyingine mkajikuta tu gari umeuza, imepata ajari na kuharibika kabisa
hivi mnaweza vipi kuendana na hali hii ya kuanza kutumia usafiri wa daladala za hapa jijini Dar es salaam?
Kiukweli hapa nipo na wakati mgumu hasa baada ya hiki kivits changu kupata ajari na kukongoroka kabisa huku nikiwa sina pesa ya kununua gari jingine
hali hii imenifanya nirudi kwenye kugombea daladala yaani ni full tafrani, muda wa wiki moja tu nimechoka, naona fedhea na aibu nahisi watu na majirani wananisema nimefulia
Hivi hali hii huwa mnaikabili vipi watu wa humu?
kesho kazini muda unaenda nazidi kupata mawazo ya usafiri tu hapa
Kwa wale ambao mlikua mnamiliki vyombo vya usafiri na sasa hamna kwa namna moja au nyingine mkajikuta tu gari umeuza, imepata ajari na kuharibika kabisa
hivi mnaweza vipi kuendana na hali hii ya kuanza kutumia usafiri wa daladala za hapa jijini Dar es salaam?
Kiukweli hapa nipo na wakati mgumu hasa baada ya hiki kivits changu kupata ajari na kukongoroka kabisa huku nikiwa sina pesa ya kununua gari jingine
hali hii imenifanya nirudi kwenye kugombea daladala yaani ni full tafrani, muda wa wiki moja tu nimechoka, naona fedhea na aibu nahisi watu na majirani wananisema nimefulia
Hivi hali hii huwa mnaikabili vipi watu wa humu?
kesho kazini muda unaenda nazidi kupata mawazo ya usafiri tu hapa