Wakuuu..msituchuke kutushauri

Wakuuu..msituchuke kutushauri

Huu mtindo wenu mwisho mtatapeliwa.
Idadi ya vyuo ni tcu inapanga au jf?

Chuo unachotaka kwenda kina website hakina?

Kwenye website hakuna prospectus?

Prospectus haina maelekezo ya vigezo wanavyotaka kwa kozi mbalimbali?
 
Huu mtindo wenu mwisho mtatapeliwa.
Idadi ya vyuo ni tcu inapanga au jf?

Chuo unachotaka kwenda kina website hakina?

Kwenye website hakuna prospectus?

Prospectus haina maelekezo ya vigezo wanavyotaka kwa kozi mbalimbali?
Kweli kabisa madogo wanawenge la kwenda chuo..jipe muda fanya vitu taratibu
 
Andika kwa kutulia mkuu usiwe na haraka na hivyo vifupisho . Mwaka jana niliomba kimoja tu na nikapata nafasi kuna walioomba mpaka saba ila iliwabidi wa confirm tena chuo wanachotaka baada ya kupata vyuo zaidi ya kimoja. Pia kama utapata nafasi katika chuo zaidi ya kimoja kua makini katika ku confirm chuo kimoja tuuuuu mana ukiconfirm zaidi ya chuo kimoja mkuu utapata tabu mkuu
 
Back
Top Bottom