muggyen
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 347
- 254
Jaman habar zenu mimi ni fundi wa computa lakn ktk sekta yng nakutana na changamoto mbalimbali ktk kaz yng.mambo yanabadlka kutokana na technology kubadlka naomba tushirikiane na wnzg ktk sekta ili kujifunza kutoka kwao na wao kutoka kwng na ata pale tunapokwama ktk kaz tuweze kupeana msaada wa kimawazo kuusu nn kifanyike napendekeza kutumia mitandao ya kjamii kama fb na hata whats app kuunda grp ambalo tutakuwa tukishirikiana pamoja.
mawasiliano zaid
0715 586 612
muggyen@yahoo.com
Nitashukuru kama mtakubaliana na wazo langu
mawasiliano zaid
0715 586 612
muggyen@yahoo.com
Nitashukuru kama mtakubaliana na wazo langu