Wakuu nipeni mambo ya simba na kcc

Wakuu nipeni mambo ya simba na kcc

Search jukwaa la michezo utapata habari zote unazotaka huna haja kuanzisha thread.
 
Mnyama kaliwa na Alshabab kidogo apate kipigo pale zenji, chezea kcc weye? Wale hawaongwi na vijisenti.pole yao na Jangwani ashashuka head coach from Holand kwa van perse
 
The match was SIMBA Vs URA (Uganda Revenue Authority) and results was Simba 0 URA 1.
 
Ukiona manyoya .....simba keshapakatwa....!!
 
Leo ni siku kubwa sana kwa wapenzi wa Yanga na tuipongeza sana Kcc kwa kuiponda Simba na kuwanyamazisha hao wapenda kelele.Eti bingwa wa mtani jembe.
 
Mnyama alikuwa anamtaka yanga kukosekana kwake kumeifanya mechi isiwe muhimu sana,wao wamekimbilha Turkey, naskia wamepeleka unga wa ngano unaotengeneyewa chapati.
 
Simba wametumia haya mashindano kupima wachezaji kwahiyo si mbaya.
 
Kwa hiyo majigambo yoote ya kujiita BINGWA WA MTANI JEMBE YAMEISHA? Chezea mbeya city weye (kcc)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom