KUDOLE CHA MWISHO
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 410
- 888
Habari wakubwa,
Hivi inawezekana mtu asome Diploma Mbili?
Ipo hivi kuna mdogo wangu alisomo Dodoma course fulani ya forensic science sasa inaonekana hyo course haina dili hapa mjini!. Sasa nikajaribu dogo aende chuo GPA ni ndogo!!
Sasa nataka niaaply vyuo vya afya ili akasome!
Sasa najiuliza inawezekan mtu kusoma Diploma mbili!!?
Wakuu naombeni masaaa maana derishaa linafungwaa tarehe 15 augst!
Your advice is highly appriciated!
Asanteni!!
Hivi inawezekana mtu asome Diploma Mbili?
Ipo hivi kuna mdogo wangu alisomo Dodoma course fulani ya forensic science sasa inaonekana hyo course haina dili hapa mjini!. Sasa nikajaribu dogo aende chuo GPA ni ndogo!!
Sasa nataka niaaply vyuo vya afya ili akasome!
Sasa najiuliza inawezekan mtu kusoma Diploma mbili!!?
Wakuu naombeni masaaa maana derishaa linafungwaa tarehe 15 augst!
Your advice is highly appriciated!
Asanteni!!