elishaezekiel
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 563
- 1,461
Naona wanasheria wanawake kwa kushirikiana na Serikali ya sweden ( Serikali ni watu kama mimi na wewe basically) wamemualika rais wetu kuzindua document fulani leo kuhusu familia
Hii imenipa wasiwasi mkubwa hasa kama Serikali itaanza kujipatia nguvu za kisheria kuregulate familia.... ambapo ni wazi itapendelea jinsia ipi kwa kisingizio cha kuikomboa jinsia hiyo. Hofu zaidi ni watu walioandaa document hiyo Wanasheria wanawake. Haki za wanaume zimelindwa kweli kwenye hii document?
Ni hatari kwa sababu itakapokua rahisi mtu kwa hisia zake tuu kujiamkia asubuhi na kuona anaonewa then amtupe mwezio kortini. Nawaonea huruma sana wanaume wanaofurahia ndoaa kuanzia sasa. Kutakua na kesi za ajabu ajabu huko mbeleni.
Marekani divorce rate inapita asilimia 50 na waanzilishi wa kesi nyingi ni wanawake kwa kisingizio cha kuumizwa hisia au mwanaume kutotimimiza mahitaji kwa hisia zake na mtazamo wake.
Ushauri wangu ni kwamba jamii zetu nyingi ni patriarchy na jamii zetu zimesimama kihivyo. Familia ziachwe kuwa patriarchy. America wanashuhudia anguko la familia kwa sababu tuu wanaona ni sahihi kuweka upendeleo na kuona kana kwamba wanaume wanasitahili kukandamizwa na kwamba haki za wnaume zinaonekana kuminywa. Mambo ya almony na family support
Unapoweka haki za Mwanamke weka wazi na haki za mwanmme, gender equity iweke msisitizo wa haki za wanaume as well. Hakuna vita ya Mwanamke na mwanamme ambayo mwanmke anaweza kushinda hata kama sheria itaegemea upande huo wa ke
Familia zetu zibaki traditional kama tunataka kukeep jamii zetu kwani familia zinajengwa hivo. Mkiitungia sheria kali familia wanaume hatutakubali, tutawala sana na hatuakubali commitment na ke yoyote, tutawacha. Hakuna mtoto kwa sababu hao ndiyo watakua mwiba kwa wanaume. Hawa wanawake wanasheria wengi feminism imewahadaa.
Hii imenipa wasiwasi mkubwa hasa kama Serikali itaanza kujipatia nguvu za kisheria kuregulate familia.... ambapo ni wazi itapendelea jinsia ipi kwa kisingizio cha kuikomboa jinsia hiyo. Hofu zaidi ni watu walioandaa document hiyo Wanasheria wanawake. Haki za wanaume zimelindwa kweli kwenye hii document?
Ni hatari kwa sababu itakapokua rahisi mtu kwa hisia zake tuu kujiamkia asubuhi na kuona anaonewa then amtupe mwezio kortini. Nawaonea huruma sana wanaume wanaofurahia ndoaa kuanzia sasa. Kutakua na kesi za ajabu ajabu huko mbeleni.
Marekani divorce rate inapita asilimia 50 na waanzilishi wa kesi nyingi ni wanawake kwa kisingizio cha kuumizwa hisia au mwanaume kutotimimiza mahitaji kwa hisia zake na mtazamo wake.
Ushauri wangu ni kwamba jamii zetu nyingi ni patriarchy na jamii zetu zimesimama kihivyo. Familia ziachwe kuwa patriarchy. America wanashuhudia anguko la familia kwa sababu tuu wanaona ni sahihi kuweka upendeleo na kuona kana kwamba wanaume wanasitahili kukandamizwa na kwamba haki za wnaume zinaonekana kuminywa. Mambo ya almony na family support
Unapoweka haki za Mwanamke weka wazi na haki za mwanmme, gender equity iweke msisitizo wa haki za wanaume as well. Hakuna vita ya Mwanamke na mwanamme ambayo mwanmke anaweza kushinda hata kama sheria itaegemea upande huo wa ke
Familia zetu zibaki traditional kama tunataka kukeep jamii zetu kwani familia zinajengwa hivo. Mkiitungia sheria kali familia wanaume hatutakubali, tutawala sana na hatuakubali commitment na ke yoyote, tutawacha. Hakuna mtoto kwa sababu hao ndiyo watakua mwiba kwa wanaume. Hawa wanawake wanasheria wengi feminism imewahadaa.