Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Wengi wao hasa ma-professor ni wababaishaji! Wanajifanya hawana muda, na mara nyingi huwa hawamalizi syllabus. Wakiulizwa wanatoa majibu mepesi tu, kwamba upo university, no more spoon feeding. <br />
Hiyo haitoshi, vitisho ndo usiseme. Wanafurahia sana pale idadi kubwa ya wanafunzi inaporudi kuja kufanya supplementary exams. <br />
Nchi za wenzetu ni tofauti, lecturers wanafurahi wanapoona wanafunzi wao wameelewa kile walichofundishwa na hivyo ku-pass final exams.
Hiyo haitoshi, vitisho ndo usiseme. Wanafurahia sana pale idadi kubwa ya wanafunzi inaporudi kuja kufanya supplementary exams. <br />
Nchi za wenzetu ni tofauti, lecturers wanafurahi wanapoona wanafunzi wao wameelewa kile walichofundishwa na hivyo ku-pass final exams.