Wakufunzi wa vyuo vya elimu ya juu ni chanzo cha kutoa Graduates wasio na sifa

Rich Dad

JF-Expert Member
Dec 15, 2010
748
133
Wengi wao hasa ma-professor ni wababaishaji! Wanajifanya hawana muda, na mara nyingi huwa hawamalizi syllabus. Wakiulizwa wanatoa majibu mepesi tu, kwamba upo university, no more spoon feeding. <br />
Hiyo haitoshi, vitisho ndo usiseme. Wanafurahia sana pale idadi kubwa ya wanafunzi inaporudi kuja kufanya supplementary exams. <br />
Nchi za wenzetu ni tofauti, lecturers wanafurahi wanapoona wanafunzi wao wameelewa kile walichofundishwa na hivyo ku-pass final exams.
 
ni kweli kabisa wahadhiri wanachangia hivyo wanafunzi unakuta muda mwingi wanapambana na kufaulu mitihani hata kwa mbinu chafu badala ya kuelewa masomo
 
ni kweli kabisa wahadhiri wanachangia hivyo wanafunzi unakuta muda mwingi wanapambana na kufaulu mitihani hata kwa mbinu chafu badala ya kuelewa masomo

Hebu fafanua kwenye red...
 
Ila pia baadhi ya wanafunzi hawako serious hata kidogo! Wengi hawaingii madarasani, hawafanyi asignments, hawasomi, research wanadesa, we unategemea nini? Wanafunzi wengi wa vyuo kutwa utawaona wanazurura tu mjini na kuendekeza ulevi n.k. Wakifeli ndio wanaanza visingizio ooh maprofesa hawafundishi..
 
Wengi wao hasa ma-professor ni wababaishaji! Wanajifanya hawana muda, na mara nyingi huwa hawamalizi syllabus. Wakiulizwa wanatoa majibu mepesi tu, kwamba upo university, no more spoon feeding. <br />
Hiyo haitoshi, vitisho ndo usiseme. Wanafurahia sana pale idadi kubwa ya wanafunzi inaporudi kuja kufanya supplementary exams. <br />
Nchi za wenzetu ni tofauti, lecturers wanafurahi wanapoona wanafunzi wao wameelewa kile walichofundishwa na hivyo ku-pass final exams.

Hii ni skendo kubwa mkuu Rich Dad, na ni hatari kwa maendeleo ya elimu yetu pia kwa wanafunzi wetu. Hebu naomba utubandikie majina ya hao Ma-professor/wakufunzi wa vyuo ili tuweze kufuatilia.

Naimani JF ni zaidi ya hapa kwenye kompyuta, hivyo kuna members wengine wako responsible na hizi inshu wanaweza kusaidia nakapata ufumbuzi wa hili tatizo.
 
Kweli hawa maprofesa,madokta mimi huwa nawashangaa sana ,kuna kitu hawana kwanza hawajali wapo wapo usanii ukubwani,anakusaidia umeshamwomba mpaka umechoka kuna mmoja alinifanyiaga vituko ,nlishia kujiuliza huyu alisoma ili aje atese watu au ni hulka binafsi.
 
Hii ni skendo kubwa mkuu Rich Dad, na ni hatari kwa maendeleo ya elimu yetu pia kwa wanafunzi wetu. Hebu naomba utubandikie majina ya hao Ma-professor/wakufunzi wa vyuo ili tuweze kufuatilia. <br />
<br />
Naimani JF ni zaidi ya hapa kwenye kompyuta, hivyo kuna members wengine wako responsible na hizi inshu wanaweza kusaidia nakapata ufumbuzi wa hili tatizo.
<br />
<br />
Mi naona wahadhiri wa elimu ya juu wako juu ya sheria, sidhani kama kuna chombo chochote kinachowaangalia ama kuhoji utendaji wao. Ndo maana katika taasis hizi maamuzi ya mhadhiri huwezi kuyapinga. Akiamua kuchelewesha kazi ya mwanafunzi hakuna anayepinga wala kuhoji.
 
Siku zote mtafutaji huwa hachoki. Hivyo kama wewe unania ya kweli na shule soma kwa bidii kuliko kupotea muda wako kwa kuwafuatilia hao wakufunzi wako. Kumbuka aliye juu usimngoje chini mfuate hukohuko juu bana. Ukipoteza muda kumsubiri hapo chini lazima ile kwako.
 
Our eucation has got what we call a colonial legacy.Kuna kupeana adhabu indirectly Tz.

Kutokana na hayo mimi binafsi sikupenda soma nchini.Huku Maprof n rafiki zangu,nikiwa na shida naweza enda hadi nyumbani kwake.

Mfano:Not long ago I did my first research.Prof was ready to help to the extent I never imagined.Sikumoja nilishinda kwake nikifanya naye kazi hadi saa nane za usiku.Furaha yake ilikuwa ni kuona mwanafunzi wake anafanikiwa.
Pia sasa kuna mwanafunzi mwenzangu alifeli,Prof alimtafuta il amfundishe zaidi jamaa ajiandae na mtihani vizuri.

Changamoto:Hii fani ina watu wanaojivuna kwa kuwa ni wachache na wanabembelezwa sana.
Kuna favour kibao mfano kuingiza magari bandarini,kwenda kusoma na kulipiwa na serikali bila shida.Nafikiri serikali yetu ina nia njema lakini ukoloni bado upo mioyoni mwa wengi wao.

We can start a network of youth who are interested at lecturing.Then the same network can lead a campaign to educate these people respect ethics of their work.
 
Wahadhiri wengi wababaishaji, darasani wanaishia kusomea watu slides ambazo hawajaziandaa wao, wanataka uandike kile walichokisema tu. Kwa kifupi wanalazimisha kukariri. Asilimia kubwa ya walionifundisha pale UDSM wapo hivyo, nashindwa kuelewa huo udokta waliupata vipi.
 
Our eucation has got what we call a colonial legacy.Kuna kupeana adhabu indirectly Tz.

Kutokana na hayo mimi binafsi sikupenda soma nchini.Huku Maprof n rafiki zangu,nikiwa na shida naweza enda hadi nyumbani kwake.

Mfano:Not long ago I did my first research.Prof was ready to help to the extent I never imagined.Sikumoja nilishinda kwake nikifanya naye kazi hadi saa nane za usiku.Furaha yake ilikuwa ni kuona mwanafunzi wake anafanikiwa.
Pia sasa kuna mwanafunzi mwenzangu alifeli,Prof alimtafuta il amfundishe zaidi jamaa ajiandae na mtihani vizuri.

Changamoto:Hii fani ina watu wanaojivuna kwa kuwa ni wachache na wanabembelezwa sana.
Kuna favour kibao mfano kuingiza magari bandarini,kwenda kusoma na kulipiwa na serikali bila shida.Nafikiri serikali yetu ina nia njema lakini ukoloni bado upo mioyoni mwa wengi wao.

We can start a network of youth who are interested at lecturing.Then the same network can lead a campaign to educate these people respect ethics of their work.

Naomba kujua jinsia yako na ya prof. wako please ili nifanye maamuzi sahihi!
 
Siku hizi wanachuo wengi hawako kimasomo nali ki anasa zaidi. Ni mwendo wa kukopi na kupaste assignment na reserch za waliotanglia. MF. Thesis ya UDSM utaikuta kama ilivyo Mzumbe mtu anapata MBA. Nadhani ma lecture wana kazi ngumu ya kupambana na hali hii.
 
Back
Top Bottom