Wakubwa na wanawe!

Wakubwa na wanawe!

UNDENIABLE

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
2,326
Reaction score
1,315
Wakati Kikwete akiwa Rais wa JMT mwanaye Ridhiwani ni mbunge wa jimbo la chalinze!, So far Mama Samia Hassan Salum mama wa watoto wa nne wakati akiwa waziri na sasa ni makamu wa Rais wa JMT mwanaye Wani Hafidh Ameir (1982) ni mwakilishi maalum katika bunge la Zanzibar.

Hapa Kazi Tu!

Chanzo: BBCswahili
 
Back
Top Bottom