Wakristo tubadilike katika hili

Wakristo tubadilike katika hili

Status
Not open for further replies.
Wakuu hivi tunaposali kabla ya kula huwa tunabariki chakula au tunaomba Mungu akibariki chakula?

Kwangu mimi ni

(1) fursa nzuri kujinyenyekeza kwa Mungu na kurudisha Shukrani kwake kwa upaji wake wa Chakula. Ni wakati pia kuifanya familia yangu ijue si tu kwa sababu ya kazi ya baba yao ndiyo maana wanakula bali upaji wa Mungu....unaweza kuwa na Chakula lakini usiweze kula.....

(2) fursa nzuri kuomba Mbele za Mungu aweze kuwagusa wengine wenye uhitaji wa Chakula na akunjue mkono wake wenye Neema na kuwapatia Chakula
 
Kwangu mimi ni

(1) fursa nzuri kujinyenyekeza kwa Mungu na kurudisha Shukrani kwake kwa upaji wake wa Chakula. Ni wakati pia kuifanya familia yangu ijue si tu kwa sababu ya kazi ya baba yao ndiyo maana wanakula bali upaji wa Mungu....unaweza kuwa na Chakula lakini usiweze kula.....

(2) fursa nzuri kuomba Mbele za Mungu aweze kuwagusa wengine wenye uhitaji wa Chakula na akunjue mkono wake wenye Neema na kuwapatia Chakula

Mkuu nadani hujanisoma swali langu limelenga nini. Hapa nna maana ni sahihi mwanadamu wa kawaida mimi na wewe kusema "nabariki" chakula. Je binadamu ana uwezo wa kubariki chakula?
Au anamuomba Mungu akibariki chakula?
 
sasa unabisha nini?? mi mwenyewe huwa sikibariki chakula kwa jina la yesu maana hajawahi kunisaidia! Bora nipige kimya kimya tuu
Because you are not a Christian. Going to Church does not make you a Christian. Why are you ashamed of Jesus Christ?
 
mleta mada anadhani Wakristo wote ni sharti wafanye ishara ya msalaba kama ishara ya kubariki chakula. Ni Roman Catholic pekee wanao fanya hivyo japo nao si wote.
Amen and amen. You can pray in your heart na haina tatizo kabisa. Sio lazima watu wawe kama Mafarisayo na Masadukayo ili waonekane kuwa wanomba
 
Mkuu nadani hujanisoma swali langu limelenga nini. Hapa nna maana ni sahihi mwanadamu wa kawaida mimi na wewe kusema "nabariki" chakula. Je binadamu ana uwezo wa kubariki chakula?
Au anamuomba Mungu akibariki chakula?

Nimekuelewa sana Mkuu ndiyo maana nimezungumzia kwa mtazamo wangu kuwa kwangu mimi si kubariki or whatever lakini ni "kurudisha Shukrani" kwa Mungu lakini kuwakumbuka walioikosa Neema hii ambayo mimi (na familia yangu) tumeipata
 
#Diva_Beyonce Biblia ipo yawezekana huwa hausomi habari za Yesu. na haujui ni kwanini mambo haya yaliandikwa

nakushauri usome 1corintho 10:11
 
#Mchiwa sisi tunabariki kwanza ndipo Mungu huachilia hiyo baraka kwaajili ya tulichokibariki (Yohana 14:14)
 
Stupidity combined with arrogance and a huge ego, will get you a long way.
... and you are calling yourself a Christian, very sad. A Christian who says he is not ready to give thanks to Jesus/God because Jesus did not help him, what a pathetic and diabolical confession.

Let me refresh you mind:

1 Thessalonians 5:18 In every thing give thanks: for this is the will of God in Christ Jesus concerning you.
 
sasa unabisha nini?? mi mwenyewe huwa sikibariki chakula kwa jina la yesu maana hajawahi kunisaidia! Bora nipige kimya kimya tuu
Let me refresh you mind:

1 Thessalonians 5:18 In every thing give thanks: for this is the will of God in Christ Jesus concerning you.

You are not a Christian.
 
Tunaomba kitu ambacho hatuna.

chakula kikiwa mbele yako unakibariki . unakula . unashukuru
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom