Wakristo tubadilike katika hili

Wakristo tubadilike katika hili

Status
Not open for further replies.
hivi kwa nini huwa hatusali kabla ya kuanza mchakato wa 6 x 6 ?
 
Ni ikweli usiopingika kwamba, Wakristo wengi (sio wote) huwa wanaona aibu kubariki chakula pindi wanapokuwa kwa Mama lishe wakipata huduma ya chakula.

Kwanini jamani!!!

...kama huwezi asubuhi unapoamka omba na ubariki siku na vyakula vya siku yote....
 
Ni ikweli usiopingika kwamba, Wakristo wengi (sio wote) huwa wanaona aibu kubariki chakula pindi wanapokuwa kwa Mama lishe wakipata huduma ya chakula.

Kwanini jamani!!!
Wewe umejuaje hao ni Wakristo?

Mimi naamini kuwa Mkristo anye jitambua hana aibu mahali popote pale. Lukewarm people who are going to Church are not Christians.
 
#Diva_Beyonce Yesu alipokuwa akibariki mikate kule nyikani hakuwa akibariki kimoyo moyo . alibariki kwa sauti na makutano wote walisikia

ni vema uwe unabariki kwa sauti ila iwe ni very low volume
 
Wewe umejuaje hao ni Wakristo?

Mimi naamini kuwa Mkristo anye jitambua hana aibu mahali popote pale. Lukewarm people who are going to Church are not Christians.

mleta mada anadhani Wakristo wote ni sharti wafanye ishara ya msalaba kama ishara ya kubariki chakula. Ni Roman Catholic pekee wanao fanya hivyo japo nao si wote.
 
Wewe umejuaje hao ni Wakristo?

Mimi naamini kuwa Mkristo anye jitambua hana aibu mahali popote pale. Lukewarm people who are going to Church are not Christians.


sasa unabisha nini?? mi mwenyewe huwa sikibariki chakula kwa jina la yesu maana hajawahi kunisaidia! Bora nipige kimya kimya tuu
 
hivi kwa nini huwa hatusali kabla ya kuanza mchakato wa 6 x 6 ?

Ni ninyi tu na dini yenu ya kisanii ndio hamsali kwenye sita kwa sita. Uislamu kila unachokifanya including sita kwa sita lazima usema ".........bismirahi.....!"
 
Wakuu hivi tunaposali kabla ya kula huwa tunabariki chakula au tunaomba Mungu akibariki chakula?
 
Sio lazima usali ili kila mtu asikie coz Mungu ni roho na kila anaemwabudu yampasa kumwabudu katika roho na kweli
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom