Wakristo hapa wanakosea

Wakristo hapa wanakosea

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,476
Reaction score
12,666
Matayo 23:9 katika Biblia (New International Version - NIV) unasema:

"Wala msiite mtu yeyote hapa duniani ‘baba,’ kwa maana mmoja tu ndiye Baba yenu — yeye aliye mbinguni."

Kwa Kiswahili cha kawaida:
Yesu anawaambia wanafunzi wake wasimwite mtu duniani "baba" kwa heshima ya kiroho, kwa sababu Mungu pekee ndiye Baba wa kweli wa kiroho aliye mbinguni.

KUMUITA PAPA KUWA BABA YAO KTK DUNIA
 
Matayo 23:9 katika Biblia (New International Version - NIV) unasema:



Kwa Kiswahili cha kawaida:
Yesu anawaambia wanafunzi wake wasimwite mtu duniani "baba" kwa heshima ya kiroho, kwa sababu Mungu pekee ndiye Baba wa kweli wa kiroho aliye mbinguni.

KUMUITA PAPA KUWA BABA YAO KTK DUNIA
Vp kuhusu baba yako mzazi, nae asiitwe BABA au?
 
Kwani kuna MTU amekulazimisha wewe kumuita papa??

Yaan unataka utupangie namna ya kumuita Kiongozi WA kanisa.

Hapa usharikani tuu tunamwita Baba mchungaji....
 
Kwani kuna MTU amekulazimisha wewe kumuita papa??

Yaan unataka utupangie namna ya kumuita Kiongozi WA kanisa.

Hapa usharikani tuu tunamwita Baba mchungaji....
Soma biblia
 
Matayo 23:9 katika Biblia (New International Version - NIV) unasema:



Kwa Kiswahili cha kawaida:
Yesu anawaambia wanafunzi wake wasimwite mtu duniani "baba" kwa heshima ya kiroho, kwa sababu Mungu pekee ndiye Baba wa kweli wa kiroho aliye mbinguni.

KUMUITA PAPA KUWA BABA YAO KTK DUNIA
Yani tusimwite mtu yeyote Mungu. Kwakuwa Mungu nimmoja . Nitafsiri tu hapo imekuchanganya. Kumbuka biblia imetafsiriwa kutoka Kiebrania,
 
Ni kukufuru kumuita mtu Baba Mtakatifu.
Baba mtakatifu ni Mungu (Mathayo 17:1
Mathayo 17:11
Naye akajibu, akawaambia, Kweli Eliya yuaja kwanza, naye atatengeneza yote,

Mkuu ulimaanisha nini mbona ni vitu viwili tofauti?
 
Yohana 17:11
Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo.
Baba mtakatifu,
 
Back
Top Bottom