Tulikuwa na maisha mazuri tu
Hadi kiuchumi,inasemekana wazungu
Walikuja wakatuchungulia wakatukuta
Tuko vizuri, wafrika wako na maisha yao,waliondoka wLiporudi wakaja
Kuruvuruga
Biashara ya utumwa ndiyo imetuvutuga mpaka leo,kwanza historia tuliyosoma na tunayofundishwa mpaka leo ina fix fix nyingi
Haielezi ukweli kuhusu mwafrika
Ova