Kama ndugai niliwahi kusoma wapo chini ya uangalizi Kwa 24hrs,ndio maana alilopoka kuwa Mzee malechela alimwambia ajiuzulu uspika akamsikia!Ina maana asinge msikia Leo tungeandika RIP ndugai kama tunavoandika RIP membe coz hakusikia ushauri was Pengo!