mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Wanamichezo wote nawasalimu,pamoja na salamu zangu naomba kujua walipo wachezaji wafuatao:
1. Malota soma-Simba
2. Juma Kampala-Yanga
3. Mohamed Bakari Tall-Simba
4. Idd Seleman Mayor-Simba
5. Yanga Bwanga-Yanga
6. Elisha John-Yanga
Hakika wachezaji hawa ni miongoni mwa wachezaji bora katika taifa letu
1. Malota soma-Simba
2. Juma Kampala-Yanga
3. Mohamed Bakari Tall-Simba
4. Idd Seleman Mayor-Simba
5. Yanga Bwanga-Yanga
6. Elisha John-Yanga
Hakika wachezaji hawa ni miongoni mwa wachezaji bora katika taifa letu