Nape alisema mlete Dr Slaa Arumeru tutamchalaza vibaya,sasa mkaletewa Kijana Nassari kwapiga chini na mbwembwe zenu za matusi chungu nzima.Wapi Nape sema kaka umetulia kama,sasa CCm arumeru ofisi watazifunga wamezoea kula kwa mbunge wao sasa mshike jembe wmende shambani