Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,471
- Thread starter
- #201
Muda ni mwalimu mzuriAjaye anatoka kanda ya kati au juu kusini ila kaskazini wasubiri kwanza
Muda ni mwalimu mzuriAjaye anatoka kanda ya kati au juu kusini ila kaskazini wasubiri kwanza
Kwa hiyo DC Moshi mjini Kipi Warioba ajiandae kwa sababu mzee wake naye anatajwa kwenye hujuma dhidi ya Magufuli?Leo Pombe katuma message kubwa kwa mababa. Thubutuni na mtaona kama watoto wenu watabaki kuwa mawaziri; wabunge; makatibu wakuu!
Message sent and delivered kwa WAZEE!
Lawama zote kwa John
Uhuru wa maoni huu.Habari wadau.
Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.
January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingatia umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.
Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi ambaye kasi yake na mvumo wake wa utendaji unawatishia wasakatonge kuu 2025.
Source: Naiweka siri kwa sasa.
Sio kwamba kwenye system ya ulinz hayazungumzwi yanatetwa tena sana bro unahakil sana kwa hapa bongo hakuna Wa kumchafua mwinyi.......Jafo ni Muislam lakini Sio Mzanzibar.
Jafo hana migogoro hata na wapinzani.
Angalau Jafo ameonyesha umahiri mkubwa pale Tamisemi.
Nasadiki unayoyasema isipokuwa nawaza, Je! Wazanzibar watabembelezwaje?
Naona mtu hatari kwenye mipango ya 2020 au 2025 ni Hussein Mwinyi.
Kwanza huwezi kumchafua, pili haonyeshi kuwa na tamaa ya madaraka,tatu hana mgogoro na wapinzani.
Ni MZANZIBARA anayekubalika kote bara na visiwani.
Jeshi linamkubali amefanya kazi na na ma CDF watatu.
Duh! Jamii Forums ni hatari.Habari wadau.
Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.
January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingatia umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.
Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi ambaye kasi yake na mvumo wake wa utendaji unawatishia wasakatonge kuu 2025.
Source: Naiweka siri kwa sasa.
Mwenzako akinyolewa......Kwa hiyo DC Moshi mjini Kipi Warioba ajiandae kwa sababu mzee wake naye anatajwa kwenye hujuma dhidi ya Magufuli?
Jafo ni Muislam lakini Sio Mzanzibar.
Jafo hana migogoro hata na wapinzani.
Angalau Jafo ameonyesha umahiri mkubwa pale Tamisemi.
Nasadiki unayoyasema isipokuwa nawaza, Je! Wazanzibar watabembelezwaje?
Naona mtu hatari kwenye mipango ya 2020 au 2025 ni Hussein Mwinyi.
Kwanza huwezi kumchafua, pili haonyeshi kuwa na tamaa ya madaraka,tatu hana mgogoro na wapinzani.
Ni MZANZIBARA anayekubalika kote bara na visiwani.
Jeshi linamkubali amefanya kazi na na ma CDF watatu.
Huyu wa sasa ataenda wapi?Seke seke linaanza baada ya 2020 fulani anapewa Waziri Mkuu
Tia majiMwenzako akinyolewa......
KwaniniUtukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
Nakubaliana na wewe mkuu.Muda ni mwalimu mzuri
Like za kutosha kiona mbaliHabari wadau.
Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.
January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingatia umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.
Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi ambaye kasi yake na mvumo wake wa utendaji unawatishia wasakatonge kuu 2025.
Source: Naiweka siri kwa sasa.
Acha uongo ww
Habari wadau.
Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.
January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingatia umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.
Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi ambaye kasi yake na mvumo wake wa utendaji unawatishia wasakatonge kuu 2025.
Source: Naiweka siri kwa sasa.
Acha uongo ww
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Makonda anaandaliwa kuwa Rais hapo 2025.
Hii Tanzania ya serikali ya awamu ya 5 ukienda sehemu ambayo hakuna network ukija kurudi online unaweza kukuta baraza lote la mawaziri limebadilishwa ama hata jina la Tanzania limebadilishwa ukakuta inaitwa Chato aisee.
Lawama zote kwa John