Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,257
- 6,512
Habari wadau.
Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.
January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingatia umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.
Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi ambaye kasi yake na mvumo wake wa utendaji unawatishia wasakatonge kuu 2025.
Source: Naiweka siri kwa sasa.
Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.
January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingatia umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.
Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi ambaye kasi yake na mvumo wake wa utendaji unawatishia wasakatonge kuu 2025.
Source: Naiweka siri kwa sasa.