Tetesi: Wakishamaliza kumuangamiza January Makamba, wanahamia kwa Selemani Jafo

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,257
6,512
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingatia umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi ambaye kasi yake na mvumo wake wa utendaji unawatishia wasakatonge kuu 2025.

Source: Naiweka siri kwa sasa.
 
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.

Source: Naiweka siri kwa sasa.

Ebu tuweke ushabiki kando,hivi January kasingiziwa au kweli kachota mifedha NSSF tena kwa mgongo wa huyu ni mwenzetu.

Jiulize ni kwanini enzi za Dr Dau Makamba na akina Zitto walikuwa wakifaidi hazina ya NSSF ?.

Huyu Jaffo ni nani nchi hii jafanyanini zaidi ya kuhamia ofisi za mabati Dodoma !.
 
Kuhusu ya NSSF tuyaweke kando maana kuna kumbukumbu aliyekuwa waziri mwenye dhamana ya TAKUKURU wakati huo Sophia Simba mbele ya mabosi wake ndani ya mkutano wa chama chake alitamka wazi ",CCM hakuna msafi" hakuna aliyeinua shingo ndani ya mkutano ule si Mkapa wala JK!

So kama hakuna msafi ukiona ndani ya CCM mnunuzi wa kivuko kibovu ananyamaziwa na mdokozi wa NSSF anaandamwa ujue huyo hahitajiki kwenye circle ya wezi wenzie.
Ebu tuweke ushabiki kando,hivi January kasingiziwa au kweli kachota mifedha NSSF tena kwa mgongo wa huyu ni mwenzetu.

Jiulize ni kwanini enzi za Dr Dau Makamba na akina Zitto walikuwa wakifaidi hazina ya NSSF ?.

Huyu Jaffo ni nani nchi hii jafanyanini zaidi ya kuhamia ofisi za mabati Dodoma !.
 
Kwetu washamaliza sasa wamehamia kwenu!
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.

Source: Naiweka siri kwa sasa.
 
Kuhusu ya NSSF tuyaweke kando maana kuna kumbukumbu aliyekuwa waziri mwenye dhamana ya TAKUKURU wakati huo Sophia Simba mbele ya mabosi wake ndani ya mkutano wa chama chake alitamka wazi ",CCM hakuna msafi" hakuna aliyeinua shingo ndani ya mkutano ule si Mkapa wala JK!

So kama hakuna msafi ukiona ndani ya CCM mnunuzi wa kivuko kibovu ananyamaziwa na mdokozi wa NSSF anaandamwa ujue huyo hahitajiki kwenye circle ya wezi wenzie.
Kwahiyo kinachoendelea hapa ni kwamba wezi hawamtaki mwizi mwenzao!??
 
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.

Source: Naiweka siri kwa sasa.
Jafo ni Muislam lakini Sio Mzanzibar.

Jafo hana migogoro hata na wapinzani.

Angalau Jafo ameonyesha umahiri mkubwa pale Tamisemi.


Nasadiki unayoyasema isipokuwa nawaza, Je! Wazanzibar watabembelezwaje?

Naona mtu hatari kwenye mipango ya 2020 au 2025 ni Hussein Mwinyi.

Kwanza huwezi kumchafua, pili haonyeshi kuwa na tamaa ya madaraka,tatu hana mgogoro na wapinzani.

Ni MZANZIBARA anayekubalika kote bara na visiwani.

Jeshi linamkubali amefanya kazi na na ma CDF watatu.
 
Jafo ni Muislam lakini Sio Mzanzibar.

Jafo hana migogoro hata na wapinzani.

Angalau Jafo ameonyesha umahiri mkubwa pale Tamisemi.


Nasadiki unayoyasema isipokuwa nawaza, Je! Wazanzibar watabembelezwaje?

Naona mtu hatari kwenye mipango ya 2020 au 2025 ni Hussein Mwinyi.

Kwanza huwezi kumchafua, pili haonyeshi kuwa na tamaa ya madaraka,tatu hana mgogoro na wapinzani.

Ni MZANZIBARA anayekubalika kote bara na visiwani.

Jeshi linamkubali amefanya kazi na na ma CDF watatu.
Watanzania bara walishakataa mambo ya kuachiana mbara na mpemba.
Ndio maana unaona mkapa-kikwetena sasa hivi mzee wa nongwa
 
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.

Source: Naiweka siri kwa sasa.
Huna haja ya kuiweka siri source yako ni hii hapa

P
 
Back
Top Bottom