Wakimaliza ndo akili itarudi!!

halafu bei ya mafuta imeanza kushuka USA. $ 3.30/ gallon, Nebraska! kwingineko vipi?
 
Nasikia India wanauziwa asilimia kadhaa za ardhi ya Bongo. Sijui ndo utumwa wa kileo unaanza kuota upya.
 
Hivi hawajamalita Tanzania hawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…