Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,579
- 78,899
Nimegundua watanzania wengi hamna kitu, wao ubishi tu, hawajui kuna IRC ,hii kitu ni pana mno, na ilisumbua sana mwanzo wkt inatambulishwaKabisa mkuu Hapo ndio majibu yapoa
Nimegundua watanzania wengi hamna kitu, wao ubishi tu, hawajui kuna IRC ,hii kitu ni pana mno, na ilisumbua sana mwanzo wkt inatambulishwaKabisa mkuu Hapo ndio majibu yapoa
Mahakama ndiyo itatoa hukumu yeye katoa maoni yake tu“Hili suala la Yanga kuweka mabango hata mimi nimeliona, kisheria sioni madai yoyote ambayo Simba anaweza kuwa nayo dhidi ya Yanga, Yanga wamechukua video ambayo imetengenezwa na Azam TV“
“Mwenye umiliki wa hayo maudhui ni Azam TV, TFF na Bodi ya ligi wameuza maudhui yote kwa Azam TV na wao wana exclusive right,”
“Ukija kwenye uwanda huo Yanga wametumia maudhui ya Azam TV, mtu ambaye ana ukaribu na hili ambaye angeweza kudai chochote ni Azam TV kama Yanga wameyatumia bila idhini”
SportsXtra | - Wakili Lugomo /Wakili kutoka ofisi ya mawakili ya Mzizima Advocates
NB: Makolo njia iliyobaki ni kuandamana tuView attachment 2815178
Ufafanuzi mzuriKasome vizuri
Wakili Lugomo /Wakili kutoka ofisi ya mawakili ya Mzizima Advocates
Wameenda mahakamani? Wamemshtaki nani ?Mahakama ndiyo itatoa hukumu yeye katoa maoni yake tu
Tutafute mdhamini aweke pale jangwani ,kwenye mataa
Kolo5......Kolofive(kolo5) wanapitia wakati mgumu sana.
Hapana mkuu....kama una mdogo wako ....mwambie asomee Sheria ....utanishukuru baadayeKama nawe ulisomea hiyo kazi......upo ktk kundi la wengi wanaopigika
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana uzoefu wa kutoshaHuyo wakili kilaza sheria ni pana sana .....amefikilia simba wasipoishtaki yanga wakawashtaki wabandika bango? ...sababu mbandika bango akibanwa nn kinatokea hapo ........
Haya mambo ni km ukwepaji wa kodi mtu kakuibia unaona kakwepa kodi kabisa ila huwezi mshtaki rejea uuzwaji wa hisa voda sheria ni segment ya uhuni pia baadhi ya maeneo
Sheria hainaga uzoefu hii ni km mambo ya intelligence tu. Hata uwe mzuri vipi ukiacha tobo wanakuvunaAna uzoefu wa kutosha
Ni kaka yangu yes.Vp ni ndugu Yako....humu mheshimiwa
Tuwekee rejea ya hizo kesi. Nyie ndiyo maana mnalishwa vibudu vya ng'ombe wa kafaraBut maoni yake yanatokana na uzoefu wa kesi mahakamani