Wakenya wasepa na sneakers za Desiigner

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,047
21,523
Rapper kutoka pande za states mwenye hitsong ya 'Panda' hakuamini kilichomtokea juzi kwenye stage wakati anapiga show baada ya 'makonki' wa Kenya kusepa na raba zake na soksi nakumuacha mchizi akiwa amefura kwa hasira. Shkamoo wakenya....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…