Wakenya mnapaswa kujua tofauti ya Mwafrika na mzungu ni rangi tu hivo msiwe mazezeta wa kusubiri wawaamulie kila jambo akati nanyi mna akili.
Janga la Corona mpaka sasa halina tiba kamili dunia nzima hivo kila nchi inatumia mbinu mbali mbali kulikabili janga hili, but inasikitisha sana ninyi kuwa wategemezi wa fikra za Mzungu kwa kila kitu.
Halafu mlivyo wajinga mnaanza kupimana ubavu na sisi tuloishinda Corona kwa mbinu zetu, kama njaa tu inawashinda hadi mnapewa msaada wa chakula sisi mtatuweza?
Janga la Corona mpaka sasa halina tiba kamili dunia nzima hivo kila nchi inatumia mbinu mbali mbali kulikabili janga hili, but inasikitisha sana ninyi kuwa wategemezi wa fikra za Mzungu kwa kila kitu.
Halafu mlivyo wajinga mnaanza kupimana ubavu na sisi tuloishinda Corona kwa mbinu zetu, kama njaa tu inawashinda hadi mnapewa msaada wa chakula sisi mtatuweza?