Tairus
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 676
- 1,055
Ivi mbona sielewi inakuwaje hadi mnapakuliwa
Jiteteeni kwa maana nyingine labda tutawaelewa.
Wake za watu mliokwisha kupakuliwa ebu naomba mnisaidie maana mi sieliwi kabisa yaan...
Alafu unakuta mume ndani kaacha kila kitu na usafiri juu.
Wakati mnafunga ndoa huwa hamuwazi vizuri au sielewi yaan.
Nawaza apa kwa sauti siku my future wife anachepuka sijui nitamfanyaje.
Alafu muda huu naandika huu uzi kuna mjinga mmoja anampakua mke wa mtu huko
The world is not fair ivi hamuonagi hata huruma hao watoto wenu.Sielewi kabisaa
All in all nisiongee sana naomba mnisaidie tuu kuelewa alafu usiseme unalipiza kisas,sijui na na sisi tunachepuka ni ulimbuken wa kiwango cha lami.
Jiteteeni kwa maana nyingine labda tutawaelewa.
Wake za watu mliokwisha kupakuliwa ebu naomba mnisaidie maana mi sieliwi kabisa yaan...
Alafu unakuta mume ndani kaacha kila kitu na usafiri juu.
Wakati mnafunga ndoa huwa hamuwazi vizuri au sielewi yaan.
Nawaza apa kwa sauti siku my future wife anachepuka sijui nitamfanyaje.
Alafu muda huu naandika huu uzi kuna mjinga mmoja anampakua mke wa mtu huko
The world is not fair ivi hamuonagi hata huruma hao watoto wenu.Sielewi kabisaa
All in all nisiongee sana naomba mnisaidie tuu kuelewa alafu usiseme unalipiza kisas,sijui na na sisi tunachepuka ni ulimbuken wa kiwango cha lami.