M Mkandara Platinum Member Joined Mar 3, 2006 Posts 16,052 Reaction score 9,546 Jun 21, 2009 #1 Ningependa sana kuelewa kama mwaka huu mtaandaa tena Bash kama la mwaka jana! (oldschool).. Najua fika kwamba mwaka jana mlituangusha lakini bila shaka mwaka huu mtajiandaa vizuri zaidi...Pengine kuushirikisha Ubalozi wetu...
Ningependa sana kuelewa kama mwaka huu mtaandaa tena Bash kama la mwaka jana! (oldschool).. Najua fika kwamba mwaka jana mlituangusha lakini bila shaka mwaka huu mtajiandaa vizuri zaidi...Pengine kuushirikisha Ubalozi wetu...
Zakumi JF-Expert Member Joined Sep 24, 2008 Posts 5,063 Reaction score 2,492 Jun 21, 2009 #2 Uchumi Ohio mbaya. Itabidi uanze kuwasamehe mapema.