Wakatoliki tusaidiane kuyajibu haya maswali ili hata kama likitokea la kutokea tusianze Kumtafuta Mchawi wetu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,571
108,922
Amepita Kwingi tu kwanini huko kote hakuugua na ameanza Kuugua baada ya Uteuzi?
Kwani hata Uteuzi wake Mtangulizi wake Machoni alikuwa anaonekana hana Furaha?
Kwanini Uteuzi wake ulisifiwa na Wakatoliki wengi huku wakisema kuwa angalau sasa Kanisa limempata Mtu wa Misimamo mikali kuliko aliyekuwepo ambaye alianza Kuchanganya Ukatoliki na Siasa?
Kwanini hata Uteuzi wake ulionekana kuwa Tishio kwa wale ambao wanapenda Kuogopwa na Kusujudiwa?
Kwanini aliyeondoka hajasema hata neno lolote lile kwa Mteuliwaji hasa Kipindi hiki Mkatoliki huyu anaumwa?
Kwanini Mkatoliki Mteuliwaji na Mgonjwa sasa alikuwa havutiwi kivile na Utawala wa Mkatoliki aliyeondoka?
Kwanini hivi sasa kuna idadi Kubwa ya Watu wasio Wakatoliki mahala anapotibiwa Mteuliwaji?

Si vibaya pia kama tukijiandaa Kisaikolojia kwa lolote lile japo tunajua Mwenyezi Mungu nae huwa anaweza Kulizuia Jambo baya Kwako.
 
Uwepo wa Majaribu ma magonjwa vinategemea kwa asikimia zote uhai wa mwanadam.
Angeumwa wakati wowote ule as long as uhai upo ndani yake
Ni vizuri umeshauri tusije kutafuta mchawi baadaye nami ninaingezea tusimtafute mchawi sasa maana hakuna uchawi katika hili...
 

Attachments

  • IMG-20190910-WA0010.jpeg
    IMG-20190910-WA0010.jpeg
    69.9 KB · Views: 31
Uwepo wa Majaribu ma magonjwa vinategemea kwa asikimia zote uhai wa mwanadam.
Angeumwa wakati wowote ule as long as uhai upo ndani yake
Ni vizuri umeshauri tusije kutafuta mchawi baadaye nami ninaingezea tusimtafute mchawi sasa maana hakuna uchawi katika hili...

Sikukatalii ila naomba tu kujua ni kwanini baada ya Kuteuliwa tu ndiyo ameanza Kuugua ghafla na tena yale Magonjwa makubwa ambayo yanahitaji Uangalizi mkubwa? Je umeyasoma vyema na kuyaelewa hayo Maswali yangu Saba hapo juu Ndugu? Kama na Wewe ni Mkatoliki mwenzangu na tupo wote hapa Dar es Salaam basi si vibaya sana tukianza Kujiandaa Kisaikolojia lakini pia tukiendelea Kumuomba sana Mwenyezi Mungu aepushe' Breaking News ' yoyote mbaya na Mpendwa Wetu. Nawaomba Malaika akina Mikaela na Jibrili wampiganie na apone kabisa ili Maadui zake wa ndani na nje washindwe Kutekeleza lile ambalo wamelikusudia kusudi na Sisi Wakatoliki wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam tuendelee kuwa na Kiongozi wetu ambaye ana Sifa Kuu za Msimamo mkali, Kutopelekeshwa na kutokuwa na Uwoga huku akiishi kabisa Misingi Takatifu ya Ukatoliki ambayo huwa haina na haitaki Unafiki.
 
Hapo ndio ujiulize tena, MOI wamepanic nini sasa hadi kuamua kutoa tamko? Maana kama upasuaji MOI wanafanya upasuaji wa kichwa hivyo kwa wagonjwa wengi tu na hawatupi taarifa. Waache kupanic huyu mgonjwa mmoja maana ndio watajikuta wanavuta attention ya watu, na kama tujuavyo kiharusi sio tatizo dogo.
 
Hapo ndio ujiulize tena, MOI wamepanic nini sasa hadi kuamua kutoa tamko? Maana kama upasuaji MOI wanafanya upasuaji wa kichwa hivyo kwa wagonjwa wengi tu na hawatupi taarifa. Waache kupanic huyu mgonjwa mmoja maana ndio watajikuta wanavuta attention ya watu, na kama tujuavyo kiharusi sio tatizo dogo.

Bado nasisitiza Wakotoliki hasa wa Jimbo la Dar es Salaam tukeshe tukiomba ila tusisahau wala kuacha Kujiandaa mapema Kisaikolojia kwani yawezekana ' Clandestine Mission ' ya muda mrefu kabla hajateuliwa na ambayo imeratibiwa vyema kabisa na walioko ndani na wale wa nje ikawa ' accomplished ' muda wowote. Binafsi leo nakesha nikimuombea kwani namkubali mno huyu Mteuliwaji kwakuwa hana Ujinga Ujinga wala Upumbavu halafu hafagilii sana Kujipendekeza na Kujikomba huku Sifa yake Kuu ikiwa ni ile ya Kutoogopa chochote huku akiishi vyema kabisa Misingi ya Kanisa Katoliki duniani. Halafu Jamaa ni ' Genius ' sijapata Kuona. Ewe Mwenyezi Mungu mpiganie Baba Askofu apone haraka na kabisa kisha aendelee Kulitumikia Kanisa lako zuri.
 
Asante mkuu kwa uzi wako, nakufatilia sana humu jf tukiondoa mapungufu ya kawaida ambayo kila binadamu anayo hakika wew ni kati ya watu wenye fikra pevu sana.
Uko vizuri.

Haya yanayotokea kwa kanisa katoliki ni sababu kuna mtu/watu ndani ya kanisa wamekua "compromised".
Tusubiri tuone, lakini watambue wako watu hawalali usiku na mchana wanafatilia haya yote yanayoendelea na wanafahamu vizuri tu.

Haya madhara wanayosababisha na wanayoendelea kusababisha sijui kama wanaeza kulipia gharama zake.

Ad maiorem Dei gloriam.
 
Are You At Risk for A Ruptured Brain Aneurysm ?


Doctors say it can happen to anyone at any time. “Most people are awake, but they’re not doing anything specific. They are maybe just watching TV or eating dinner and all of a sudden they have that sudden onset severe headache,” explained Dr. Constantine Plakas, a neurosurgeon with Lee Health. That headache is caused by a ruptured brain aneurysm. “An aneurysm is a weak point in the wall of a blood vessel that can cause an out-pouching and if that out-pouching gets thin enough it can actually cause a rupture, and that will lead to a bleed in the brain,” said Dr. Plakas. Doctors say many adults can start developing brain aneurysms in their 20s and 30s but will have no symptoms unless an aneurysm ruptures. “One in about six percent of the population has an aneurysm, and they don’t even know it, and they can go their whole life without knowing it,” said Dr. Plakas. But if the aneurysm ruptures, patients will experience a sudden and severe headache. “When they bleed it’s pretty classic. It’s one of the worst headaches you’ve ever had in your entire life,” he said. Brain aneurysms can be genetic, but things like smoking and hypertension can put patients at a greater risk of having the aneurysm rupture. “There’s a lot that goes into treating it after they rupture. The most important thing is treating the aneurysm, so it doesn’t rupture again,” said Dr. Plakas. If there’s a rupture, patients need to seek immediate medical care. “If left untreated, one the aneurysm can rupture again. Two, there are other problems that can be caused by the ruptured aneurysm, things like hydrocephalus, which is back up of fluid in the brain and those things need to be treated rather urgently,” said Dr. Plakas. At Lee Health, doctors see about one ruptured brain aneurysm a week. If patients experience symptoms or have two family members who have had a ruptured aneurysm it’s important they talk to their doctor.
Source : Lee Health
 
Amepita Kwingi tu kwanini huko kote hakuugua na ameanza Kuugua baada ya Uteuzi?
Kwani hata Uteuzi wake Mtangulizi wake Machoni alikuwa anaonekana hana Furaha?
Kwanini Uteuzi wake ulisifiwa na Wakatoliki wengi huku wakisema kuwa angalau sasa Kanisa limempata Mtu wa Misimamo mikali kuliko aliyekuwepo ambaye alianza Kuchanganya Ukatoliki na Siasa?
Kwanini hata Uteuzi wake ulionekana kuwa Tishio kwa wale ambao wanapenda Kuogopwa na Kusujudiwa?
Kwanini aliyeondoka hajasema hata neno lolote lile kwa Mteuliwaji hasa Kipindi hiki Mkatoliki huyu anaumwa?
Kwanini Mkatoliki Mteuliwaji na Mgonjwa sasa alikuwa havutiwi kivile na Utawala wa Mkatoliki aliyeondoka?
Kwanini hivi sasa kuna idadi Kubwa ya Watu wasio Wakatoliki mahala anapotibiwa Mteuliwaji?

Si vibaya pia kama tukijiandaa Kisaikolojia kwa lolote lile japo tunajua Mwenyezi Mungu nae huwa anaweza Kulizuia Jambo baya Kwako.
Kweli tujiandae huku tukimwomba Mola amponye. Zama mbaya hizi.
 
Sept 11, 2019
"Hali ya Askofu mkuu wa jimbo Katoliki Dar es Salaam Mhashamu Yuda -Thaddaeus Ruwa'ichi ambaye amelazwa katika taasisi ya tiba ya mifupa-MOI baada ya kufanyiwa upasuaji wa kichwa inaendelea kuimarika" - Prof. Joseph Kahamba mtaalamu wa masuala ya mishipa ya fahamu na ubongo wa Muhimbili Hospital alipokuwa anzungumzia hali ya Askofu.

Source : Azam TV

Brain Aneurysm Symptoms - It is very important for us to be able to recognize symptoms of brain aneurysm from headaches to numbness; because the knowledge of it can actually save our lives.

Source : Psych TV
 
Jmn anachoumwa askofu ata mm mzee wangu alishawai umwa tusiusiche na vitu au mtu kumpa lawama tujue presha ni mbaya,tumuombee ndiyo jukumu letu kwa sasa.
 
Back
Top Bottom