WAKATI UKUTA! Wacheza filamu za Kibabe wa zamani walivyo hivi sasa

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,726
32,818
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg


Wale watu wazima wenzagu, enzi hizo hakuna cha "Isidingo The Need" wala sijui Tamthilia za Kifilipino. Ilikuwa ni "mikanda" ya ngumi na ile ya kivita. Vurumai za makomandoo na vita vya Wavietnam na USA.

Huwezi kuongelea "mikanda" ya ngumi bila kumtaja Rambo, Bolo Yang(You are Next) na kina Rambo. Hawa jamaa walitisha sana,l akini leo hii ndio hali yao.
 
View attachment 342181 View attachment 342182 View attachment 342183 View attachment 342184 View attachment 342185 Wale watu wazima wenzagu,enzi hizo hakuna cha "Isidingo The Need" wala sijui Tamthilia za Kifilipino.Ilikuwa ni "mikanda" ya ngumi na ile ya kivita.Vurumai za makomandoo na vita vya Wavietnam na USA.

Huwezi kuongelea "mikanda" ya ngumi bila kumtaja Rambo,Bolo Yang(You are Next) na kina Rambo.Hawa jamaa walitisha sana,lakini leo hii ndio hali yao
Tumsifuni Yesu kristu
 
Nguvu kitu cha kwisha mitaa ya kati tulikuwa na brother wetu mbavu nene kifua jumba sasa hakujua kama waqt hupita kuna siku kauvamia mfuko wa cement(dongo ulaya)kila akitaka kuunyanyua unarudi kila akikukuruka unarudi akabaki anautizama tukaenda kumsaidia tukakuta chozi linamtoka akasema enzi zangu mie sasa nimebaki django jina tu sio yule django mwenyewe.
 
Hii imenikumbusha kuna jamaa mmoja kule kijijini alikuwa na maguvu kweli kweli.....

Alikuwa anapiga kiki ya piki piki kwa mkono wake mmoja....

Alikuwa akibeba gunia mbili za mahindi kwa pamoja kwa mtindo wa x......

Alikuwa na uwezo wa kumkamata ng'ombe na kumchinja peke yake....

Alikwa na uwezo wa kusukuma plau ya kulimia pekee yake na kulima heka nzima ya shamba.....
Kwa kifupi jamaa alikuwa na nguvu za ajabu.....

Lakini juzi nilivyoende kuwasalimia jamaa.....nimemkuta hawezi hata kunyanyua ndoo ndogo ya lita kumi...iliyojaa mahindi....

Ama kwa hakika kila kitu kina wakati wake.....
 
Back
Top Bottom